Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kufanikiwa kumaliza Shahada ya Uzamili na Uzamivu ni lengo kubwa na muhimu. Hapa kuna hatua muhimu za kuchukua ili kufanikisha malengo yako: 1. Chagua Kozi Inayokuvutia: Chagua shahada au...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Anonymous (aa77)
Miaka ya nyuma tokea nchi ipate uhuru huu mwaka bajeti ya kutoa mikopo Kwa WANAFUNZI WA degree ilikuwa kubwa sana, ilikuwa TZS bilioni 700+. Serikali ikakatangaza WANAFUNZI wanaonza degree (fresh...
2 Reactions
3 Replies
734 Views
Naitwa Abdul-Aziz Ally Carter Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM), jana Oktoba 20,2023 matokeo ya awamu ya 1 ya mkopo kwa wanafunzi wa Elimu ya juu yalitoka, Kuna idadi kubwa ya...
6 Reactions
19 Replies
3K Views
Naitwa Abdul-Aziz Carter Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM): Octoba 20,2023 Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya mikopo (HESLB) Abdul-Razaq Badru aliishukuru serikali kwa kutenga Bilioni...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Katka pitapta za mitandaoni, nmefankiwa kktana na machapisho apo chini. Mwenye taarifa zaidi ajazie nyama Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
1 Reactions
1 Replies
301 Views
Naombeni ushauri wa fursa za kielimu kulingana na maendeleo ya elimu ya sasa kipi nisomee shahada kati ya degree hizo tatu hapo juu? 1. Bachelor of education in adult education and community...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
mwisho saa sita usiku (28/09/2013.....jmoc)
2 Reactions
339 Replies
34K Views
Habari zenu waheshimiwa? Katika hali isiyokuwa ya kawaida na iliyotuacha midomo wazi sisi wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam campus kuu ya Mlimani ni habari za kuwapoteza wenzetu takribani...
25 Reactions
322 Replies
60K Views
Wanajukwaa poleni na majukumu ya kulijenga taifa letu. Husika na kichwa hapo juu mimi ni mwanafunzi wa bachelor mwaka wa kwanza katika mwaka wa masomo 2023/2024 naombeni Ushauri wenu kati ya...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari za jioni, Naomba kufahamishwa endapo inawezekana kusainishwa mkopo kabla ya kukamilisha usajili ili niweze kutumia fedha hizo kukakamilisha kiasi cha ada niweze kukamilisha usajili maana...
0 Reactions
2 Replies
876 Views
Wakuu habari zenu.. Naombeni kujuzwa kama myu mwenye diploma ya clinical medicine anaweza kusomea bachelor degree ya veterinary medicine?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mmeamkaje wote tulioambiwa wait for final results? Jamani Mimi naona kama wengi wetu tuliokosa mpaka hivi sasa ni equivalent applicants kutoka diploma au mnaonaje? 🥲Na wewe umejipangaje ukikosa...
1 Reactions
42 Replies
5K Views
Kwa mwalimu mwajiriwa wa serikali, ipi Ni Masters Bora Kati ya tajwa hapo juu? Wadau wa Elimu karibuni kwa mawazo! Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Jamani naombeni ushauri, Mimi nimechaguliwa UDISM course ya "bachelor of art in language studies, nlikua naomb mnisaidie kuniambia kama nitasoma hiyo kozi nitafanya kazi gani baadae au nitakuwa nani?
2 Reactions
15 Replies
964 Views
Habari Zenu Wapendwa... Naomben Mnisaidie Kwa Anaefaham Hyo Coz Hapo Juu Anifahamishe About Merits,demerits And Future Outlook (ntafanya Kaz Gan Nkimaliza Na Upatkanaji Wa Ajira) Yke Ikoje Pia...
3 Reactions
73 Replies
19K Views
Kwa nchi hii kusoma ni upumbavu nambari moja maana unakuta mjinga ana nguvu kuliko msomi na msomi anamfanyia mpumbavu kazi za kipumbavu kwa kumkandamiza mjinga mwingine au msomi mwingine. Kiufupi...
1 Reactions
16 Replies
908 Views
Wanufaika wapya wa Mkopo zaidi ya elfu 20 HESLB 2022/2023 | Majina ya Waliopata Mkopo Habari njema kwa waombaji wote wa mkopo wa HESLB, Allocation ya mkopo bechi ya kwanza sasa inapatikana...
2 Reactions
4 Replies
5K Views
Napenda nifahamu sheria zenu mwanafunzi anapokuja kujifunza kwenu mwaka 1 katoka chuo akajifunza kipindi cha miezi 6 akafanya kosa, inawezekana kufukuzwa bila kutaarifiwa wazazi wake? Kama...
1 Reactions
10 Replies
511 Views
Wote tunajua maisha baada ya kuhitimu ni safari iliyojaa fursa na changamoto. Kwa kutambua na kufanya kazi kwa bidii kuzishinda changamoto hizi, wahitimu wapya wanaweza kujenga njia ya kufanikiwa...
0 Reactions
3 Replies
966 Views
Habari, Naitaj msaada tafadhali nina shida ya kubadili majina nimefatilia makala kadhaa za watu walojaribu kuulizia utaratibu uko vp kuna kitu nimeona kimezungumziwa sana "DEED POLL"...
1 Reactions
16 Replies
6K Views
Back
Top Bottom