Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Huu ni uzi maalumu kwa yoyote yule mwenye kitabu, jarida, chapisho n.k linalohusu uchumi katika mfumo wa soft copy anaweza kutupia hapa ili kila mtu ajifunze mambo mbalimbali kuhusu uchumi. Iwe...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wadau, Ninatumaini kuwa mnaendelea vyema na Majukumu. Mimi ni Mhitimu wa diploma idara ya Umeme katika taasisi ya teknolojia Dar es salaam DIT Mwaka wa masomo 2021/2022. Ninawaandikia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Anonymous (2753)
Sisi Wanafunzi wa Chuo cha Mbeya Training College kilichopo Uyole Mkoani Mbeya ambacho kinatoa Kozi 4 ambazo ni Laboratory Assistant, Secretary, Business Operator na Hotel Management. Mwaka jana...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kati ya maeneo ambayo bado tunashindwa kuyafanyia kazi ni pamoja na ukaguzi wa elimu ya juu, yaani ngazi ya vyuo vikuu na vyakati. Kama ilivyo kuwa ni ugonjwa komavu wa ukosekanaji wa vifaa...
0 Reactions
1 Replies
446 Views
Naitwa Hussein Issa Nzomkunda nliibiwa begi lenye vyeti vyote ila hivo vingine nilishapata utaratibu wa kuvipata isipokua cha NIT tu. Kwa anaejua utaratibu wa kufuata anisaidie tafadhali.
1 Reactions
12 Replies
728 Views
Water Development and Management Institute (WDMI) ama chuo cha usimamizi na maendeleo ya Maji, zamani Water Resources Institute (WRI) kilianzishwa mwaka 1974 kama kitengo ndani iliyokuwa wizara ya...
4 Reactions
231 Replies
89K Views
Naomben msaada wa namna ya kurekebisha jina kwenye cheti na taarifa za nida. Cheti chang cha kuzaliwa kimeandikwa Anastazia. With single " n" na nida pia nilifatilia kutumia taarifa za cheti cha...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
TTCC ni jumuiya ya wanafunzi inayosababisha msukumo mkubwa katika eneo la elimu kwenye mandhari ya kipekee ya vyuo vikuu vya Tanzania. Jumuiya hii inakutanisha wanafunzi kutoka vyuo vikuu kote...
1 Reactions
3 Replies
611 Views
Hivi mikopo ya Diploma imetoka maana niki log in wanasema wait next stage Kuna mwenye amepata ujumbe wowote?
1 Reactions
1 Replies
763 Views
naomba mwenye kujua cv ya huyu jamaa au kiwango chake cha elimu maana chuoni kwetu kesho kuna philosophical forum na yeye ndio mzungumzaji mkuu so nlitaka kujua uwezo wake intellectually.!
1 Reactions
49 Replies
14K Views
Mimi ni kijana wa kiume, nina miaka 19, Nilimaliza kidato cha nne mwaka Jana, lakini matokeo yangu hayakuwa mazuri.. nilipata div 4 ya point 33. Lakini baada ya kumaliza shule nilienda Veta...
2 Reactions
11 Replies
610 Views
Habarini viongozi dhima ya huu uzi ni kutaka kupata update ya batch ya pili kwa wale wenzangu wa wait for allocation process.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nikiwa nimejiunga UDSM mwaka huu kwa ajili ya kuongeza Elimu toka nimeingia hapa mtu ukibanwa na haja inabidi ujifikirie mara mbili ama uende porini (Hasa Pori lile la Kuelekea Changanyikeni au...
6 Reactions
142 Replies
14K Views
Anonymous (1ea1)
Habari Wana Jamii Forums naomba kuwasilisha hoja yangu ili kupaza sauti, mamlaka zisikie na ikiwezekana hatua zichukuliwe haraka. Sisi Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa mtazamo wangu tumechelewa kuwatumia wanafunzi wenye ufaulu wa juu (outstanding) kulisaidia taifa. Hivi inakuwaje mwanafunzi kidato cha sita ana point tatu, Chuo kikuu amepata GPA ya 4.8 au...
21 Reactions
225 Replies
22K Views
Habr wana JM, ndgu zangu hapa ni jukwaa la kupeana michongo na kubadilishana mawazo. Kuna jambo naombeni tusaidiane Mimi ni mwalimu bado sijaariwa na serikali nafanya private school ila nina...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Salaam wanajamvi Naomba tujuane first year IAA Dar es salaam campus
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wanajukwaa, napenda kuuliza Hivi nje na kuwa mwalimu kazi gani mtu anaweza ifanya kwa kusoma degree hiyo. Mchango wako wa mawazo ni muhimu sana [emoji120][emoji120]
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini Walimu, heshima yangu kwenu haitokani na kuwajua kama Walimu kwa sababu nilifundishwa nanyi, au kama Mwananchi kusema naishi nanyi humu mtaani. Hapana, heshima hii inatokana na mimi...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Back
Top Bottom