Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Nimemaliza kidato cha sita 2019 na nimefaulu vizur nikiomba vyuo napewa nafasi lakini sijaenda kusoma maana kila mwaka mkopo sipewi msaada jamani
4 Reactions
27 Replies
2K Views
Tukutane hapa kupeana habari na taarifa za maombi ya mkopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kwa mwaka huu 2023-2024. Kama wewe ni mwanafunzi, mzazi, mlezi, ndugu au rafiki unayeomba/unamuombea mtu...
3 Reactions
94 Replies
11K Views
HABARI WAPENDWA: NAOMBA USHAURI JUU YA SUALA LIFUATALO: Taaluma yangu imeniwezesha kukutana na wanafunzi wa ngazi mbalimbali wenye ndoto na nafasi za kusoma/kuendelea na elimu ila kutokana na...
0 Reactions
0 Replies
371 Views
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mhe. Abdulaziz Mohamed Abood leo tarehe 20/10/2023 anatarajia kuwa Mgeni Rasimi kwenye Sherehe za Mahafali ya kidato cha nne kwenye Secondary ya MAFIGA iliyopo...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Ndugu, naomba kufahamu kwa anayejua hizi Joining Instructions za kujiunga Chuo Kikuu cha Dar es salaam zinapatikanaje? Muda umeenda sana na masomo karibu yanakaribia. Nimeomba online na kujibiwa...
1 Reactions
4 Replies
806 Views
Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), Prof. Charles Kihampa, akizungumza na Waandishi wa Habari, Dar es Salaam, leo Oktoba 13, 2023 kuhusu kufunguliwa kwa dirisha la Awamu ya Nne...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Njoo KASULU MJINI mkoa wa Kigoma, nije mkoa Tanga, pwani au Dar es salaam, Wilaya yeyote. Idara ya sekondari. Simu. 0652180400
1 Reactions
6 Replies
732 Views
Wakuu naomba ushauri tajwa hapo juu nisije shindwa ku graduate masters kwa wakati
4 Reactions
88 Replies
6K Views
Hizi shaghalabaghala za nchi yetu sijui zinaelekea wapi? Hawatuelezi wamefanya tafiti zipi mpaka walipofikia? Kadri ubora wa elimu unavyoshuka, ndio wanazidi kulegeza vigezo. Sasa iwe lazima mtu...
0 Reactions
3 Replies
472 Views
Habari wanaJF Nilikuwa napitia kitabu cha TCU cha "Postgraduate Guidebook", Nikaona kuna baadhi ya vyuo kama CBE, TIA, IIA n.k ambavyo ni vya serikali na vinatoa hadi elimu ngazi ya Masters...
2 Reactions
28 Replies
5K Views
Mwl.James Kidiga amefanikiwa kucjaguliwa kuwa miongoni mwa walimu 50 Dunia nzima wanaowania tuzo ya mwl.bora Duniani yenye thamani ya Shilingi Bilioni 2.5. Kila la heri bwana Kidiga kazi yako...
2 Reactions
41 Replies
2K Views
Habari wadau watalaamu Ningependa kufahamu kama hiyo tittle and its content are 1. Researchable 2. Punctually Collect Maana nimeSubmit sehem mbili ambapo sehem moja imepokelewa vizuri wakati...
0 Reactions
0 Replies
352 Views
Ninasikitika sana hawa watu wanaitwa nactvet wanasababisha stress na mkanganyiko usio wa lazima kwa kuchelewesha matokeo ya vyuo vya afya. Wao ndio wamepanga ratiba ya kuanza masomo tarehe 16...
3 Reactions
5 Replies
712 Views
Anonymous (3526)
Sisi ni Wanafunzi tuliohitimu katika Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Campus ya Dar es Salaam tuna madai ya kutorejeshewa malipo tuliyolipa kabla ya kuingiziwa fedha za Bodi ya Mikopo (HESLB)...
0 Reactions
0 Replies
460 Views
Naomba msaada kwa anayejua. Nafanya maombi ya mkopo kwa ngazi ya stashahada. Shida nikifika kwenye sehemu ya kujaja taarifa za kiemografia na kuandika namba za cheti cha kuzaliwa na nikitaka...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hii changamoto inawafanya vijana wengi washindwe kupata mikopo kutokana na majina ya cheti cha kuzaliwa kutofautiana na form 4 huku hakuna sehemu ya kuattach affidavit hivyo uwezekano wa kupata...
2 Reactions
6 Replies
783 Views
Msaada naweza pata nafasi cuhas course ya radiology level ya Diploma?
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habarini wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, ndugu yenu nimekuja mbele ya jukwaa hili nipate dondoo mbili tatu kuhusiana na kipi nisome katika kozi zifuatazo. Bachelor degree...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Salaam wakuu, Kwa wale walioomba mkopo mwaka huu kuna ambaye ameshapata ujumbe kwenye account yake tofauti na ujumbe huu hapa chini? Your application is already in Verification process, please...
3 Reactions
41 Replies
4K Views
Matokeo ya kidato cha sita 2023. Karibu shule zote daraja lenye idadi kubwa ya waliofanya vizuri ni daraja la kwanza ( Division one). Kwa matiki hiyo mambo yafuatayo yanaweza kujitokeza; 1. Kama...
7 Reactions
88 Replies
11K Views
Back
Top Bottom