Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Msaada wakuu masters ya public health serikalin ni kiasi gan basic salary ya kuanzia
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimelipia elfu 30 ktk heslb nataka kucreate account nikibonyeza submit form inaload tu nashindwa kuendelea na mchakato hawa bodi. Nimewapigia simu Hawapokei simu zangu nimetuma adi katika...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habarini wakuu mimi ni muhitimu katika ngazi ya stashahada nikiwa nimefanikisha kusom kozi ya business administration. Kabla sijafanya maamuzi ya kuchagua kozi mm mwenyew nimeona nije nisikilize...
1 Reactions
7 Replies
825 Views
Jamani naomba maelezo kuhusu kozi ya mechatronics na biotechnology engineering zikoje na fursa zake ni zipi
0 Reactions
2 Replies
775 Views
Wanabodi habari ya asubuhi murua kabisa, nilikua napita vijiweni nakuta vijana wanalalamika sana hawa wanaoomba vyuo vikuu, nasikia utaratibu umebadilika sio kama zamani sie tulikua tuna apply...
0 Reactions
1 Replies
616 Views
Kuna tamko limetolewa na katibu mkuu MSONDE kuwalazimisha waalimu nchi nzima kuwafundisha wanafunzi waliomaliza darasa la Saba kuanzia saa nane na nusu mpaka saa kumi na nusu. Muda wa kazi kwa...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Ndugu wanajamiiforums wenzangu naomba mnijuze majukumu ya HUMAN RESOURCE MANAGEMENT. Nasubiri majibu yenu. Ahsanteni.
0 Reactions
32 Replies
13K Views
Wanazengo naomba kujua ni chuo gan kinatoa hiyo kozi ya Mineral processing ngazi ya diploma (stashahada). Bodi ya mikopo inayotoa mikopo kwa diploma wamesema hii kozi itapewa kipaombele ila mpaka...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Na ndugu yangu kapata 1 .6, amesoma taasusi ya HKL, ana mpango wa kusoma UDS sheria. Naomba ushauri wakuu, halafu ukicheki ana aibu sana.
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Ndugu yangu kapata ufaulu huo hapo juu. Amepata accountancy IFM Ila lengo lake asome Bachelor of Nursing. Je, kwa hapa Bongo atapata chuo gani? Ushauri please?
4 Reactions
38 Replies
2K Views
Wana jf kuna chuo chochote kinachopokea clinical officer (C0) kusoma shahada ya kwanza ya sheria. Msaada mwenye kufahamu hilo
0 Reactions
15 Replies
2K Views
matokeo ya third selection yako tayr lakin kuna rfk ang apa amepata changamoto ya kuona matokeo yake chuo cha ATC mana website zao zote hazifunguki kama kuna mtu ambaye aneweza kua na pdf ya...
0 Reactions
1 Replies
544 Views
Salaaam! Anaomba ushauri wenu course ipi aisome kati ya: Bachelor of science in library and information management, Au Bachelor of Public Administration in Record and Achieves Management...
1 Reactions
6 Replies
608 Views
Habari zenu wadau, swali langu ni hili, je kwa mtu aliyekwisha kumaliza chuo, anaruhusiwa kusafisha cheti chake cha form 4/form 6 endapo alifeli hesabu tu? Na kama inaruhusiwa taratibu zake zikoje?
1 Reactions
3 Replies
828 Views
Wakubwa naomba kupewa maana na tofauti kati ya Lecture na Teacher.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naombe kujua, kwa kozi za ufundi I mean technical college. Muda wa application mwisho tarehe ngapi..? Na je ukichaguliwa ukichaguliwa kozi ngazi ya certificate unaweza kufuta na ku apply kozi...
0 Reactions
5 Replies
579 Views
Kwanza poleni kwa kufikiria kwa kina sera za elimu (kiswahili &english debators). Sipo huko. Mie naomba kujua kama pale chuo cha maliasili na utalii moshi kilimanjaro (MWEKA) wamesha ruhusu...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Tofauti ya maneno haya kwenye taaluma ya macho ni nini? 1. Optician 2. Optometrist 3. Ophthalmologist ● Je, optometrist anaweza kua ophthalmologist? ● Kwa hapa Tanzania ni vyuo vipi wanatoa izo...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Samahani wana JamiiForums, ninaomba kuuliza. Mimi nilisoma form six halafu nikasoma na diploma, sasa kwenye kuomba mkopo nineandika form six badala ya diploma na nilipojaribu kureverse baadae...
1 Reactions
5 Replies
693 Views
Naombe kujua, kwa kozi za ufundi I mean technical college. Muda wa application mwisho tarehe ngapi..? Na je ukichaguliwa ukichaguliwa kozi ngazi ya certificate unaweza kufuta na ku apply kozi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom