(Bachelor's of art in philosophy and political science)
mdog wang amechaguliw hii koz ninaomba ufafanuz wa mambo atakayo jifunza na fursa zake kweny soko la ajira!
Kama kichwa cha uzi kinavyosema, mimi nimemaliza form four mwaka jana hivyo form five selections zimetoka na nimechaguliwa kwenda Azania sec
Hivyo najua humu kuna watu wanaishi hapo karibu au...
Mdogo angu hapa nyumbani amefanya applications ya vyuo vitatu
1. IAA- Bachelor of Accounting and Finance
2. MoCU- Bachelor of Accounting and Taxation.
3. ITA- Bachelor of Custums and Taxation...
Wakuu habari za weekend,
Naomba kuuliza, hivi unapo conduxt research kwa title za natuaral disaster kama COVID-19 , NI RESEARCH DESIGNI ipi ni nzuri kuitumia hasa kama unatumia case study ya mkoa...
Nakusalimu kwa jina la Jamhuri...Kazi iendelee.Nimekuandikia waraka huu nikitaka kushare nawe mambo kadhaa.
Tuanzie kwako,wewe ni kiongozi smart sana katika idara ya elimu sekondari hapa kwenye...
Ndugu walimu wenzangu na wanajanvi naomba mnisaidie taratibu za kufuatwa ili mwalimu asainiwe barua za uhamisho wa kubadilishana kituo cha kazi.
Nimeamua kuwauliza swali hili kutokana na...
Habari Zenu ndugu zangu, nimeona ni busara kuanzisha uzi huu mahususi kwa ajili ya kujadiliana maswala ya ujenzi kwa ujumla.
Ni ukweli usiopingika ujenzi ni sehemu muhimu ambayo kila mtu...
Nimeomba mkopo ila control number inaleta 50000 na natakiwa kulipa 30000.
kilipa fedha inarudi… nimeenda mpaka bodi ya mikopo wanasema it wao ndo bado hajafanyia kazi na siku zimebaki mbili...
Nafikiri sasa wakati umefika kurekebisha mitaala iweze kum equip kijana na maarifa mbali mbali ya sasa....ili akiingia mtaani aweze moja Kwa moja kuchangia maendeleo na sio kugeuka mzigo wa na...
Habari wadau;
Wikiendi iliopita nilikuwa katika mjadala na Rafiki yangu wa siku nyingi ambaye tulipotezana zaidi ya miaka 10 iliopita.Tulikuwa tukijadili safari ya kitaaluma na swala la...
Habarini za humu, natumai mko pwa mnaendelea vizuri.
Nilikuwa nauliza Kama naweza nikapata msaada humu nina mdogo wangu amechaguliwa application za kwenda vyuo na machaguo aliyopata amefanikiwa...
Jamani nimekwama kwenye hiki kipande kwenye kuomba mkopo, naomba msaada maana napiga simu za HESLB hazipokelewi.
Shida hapa mimi sikuwa sponsored o level, nataka ku reverse application nashindwa...
Wasalaam wana JF!
Bila shaka wote ni wazima na ambao hawapo sawa basi Mungu atawaponya soon, Amen.
Baada ya salamu naomba niende straight kwenye Mada.
Ni ndoto ya vijana wengi nikiwemo mimi...
Habari JF members.
Natumai nyote mu wazima wa afya,Mimi si mwandishi mzuri sana ila nitajitahidi kuelezea kile nachokifahamu.
Hivyo nipende kwenda moja kwa moja kuelezea kuhusiana na moja ya kozi...
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Kwa heshima na taadhima naomba wanaojua vyanzo vya Majarida Rejea namaanisha Referencing Materials Kama Journals na machapisho mengine ya kurejea wakati wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.