Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Natanguliza salamu kwenu wakuu Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimekuja kwenu wakubwa zangu kuomba ushauri na muongozo wenu juu ya hiyo course ya Bachelor of business Administration...
3 Reactions
49 Replies
7K Views
Vyuo hivyo vya kati vinafunguliwa 9/10/2023. matokeo ya mitihani bado...yaani mwanafunzi aende chuoni halafu arudi nyumbani in case he/she is discontinued Mzazi unajiandaa lini na ada? Rutayugwa...
0 Reactions
3 Replies
842 Views
Naomba msaada jamani. Niko nafanya Application za mkopo mwaka huu kuna kipengele kimejazwa taarifa ambazo na imegoma kuedit, msaada kwa anaeweza kunirekebishia.
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wanafunzi wa kidato cha sita waliomaliza Shule ya Sekondari Mbweni Teta iliyopo kata ya Mbweni wilaya ya Kinondoni mkoa wa Dar es Salaam wanapitia changamoto ya kunyimwa Result slip zao kwa...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Naomba kuuliza kama kuna mwanafunzi anayesoma Ardhi Institute of Morogoro anifafanulie kuhusu kozi ya Geomatics.
0 Reactions
0 Replies
405 Views
Kwa mwenye kujua namna ya utatuzi katika mfumo huu mpya wa bodi ya mikopo Helsb yaan kila niki attach file kwenye Guarantor id card in pdf form ina leta mrejesho wa Invalid file type naombeni msaada
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kutokana na uhitaji mkubwa wa marubani katika soko la ajira chuo cha CBE kampasi ya DSM kimenuia kuanzisha kozi ya kufunza Marubani humu humu nchini ili kuzalisha wataalamu wengi wazawa kwa ajili...
1 Reactions
36 Replies
5K Views
Hello wanaJF Sorry nina mdogo wangu alifaulu chuo cha Mwalimu Nyerere kilichopo Kigamboni Dar es Salaam. Mdogo wangu huyo alikuja Bukoba likizo baada ya kumaliza field ndani ya mwezi September...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu wa JF, Mimi ni Mwanafunzi wa mwaka wa pili katika chuo cha Sokoine,kwa muda mrefu sana nilikuwa nimejijengea kuipenda sana taaluma ya udaktari wa binadamu ila bahati mbaya...
0 Reactions
24 Replies
7K Views
Habari za muda huu, Nilikua nauliza je kwa mfano umepata GPA zaidi ya 3.8 bachelor degree ila kuna baadhi ya kozi core umepata B plain unaeza omba nafasi ya tutorial assistant na ukawa...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Nilisoma kwenye shule hii kwenye miaka ya 1986-1989 https://www.youtube.com/watch?v=gBQ8OOy1LHs&pp=ygUcTnN1bWJhIFNlY29uZGFyeSBTY2hvb2wgMjAyMw%3D%3D Kama uliwahi kusoma kwenye shule hii, sema ni...
0 Reactions
2 Replies
721 Views
Habari ndugu zangu; Ningependa kuomba msaada hapa kidogo kuhusu swala la mkpo he bodi ya mkopo #heslb Wana weza toa mkopo kwa mwanafunzi wa diploma? Hii ni kutokana na matatizo ya kifamilia ndio...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Je ni kweli inawezekana kupata mkopo kwa anayeenda kusoma stashahada?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imefungua dirisha la maombi ya SAMIA SCHOLARSHIP kwa wanafunzi 640 waliopata ufaulu wa juu kwenye masomo ya sayansi katika mitihani ya...
1 Reactions
38 Replies
4K Views
Wakuu naomba msaada wenu kwa aliyefanikisha kuambatanisha uthibitisho wa ulemavu kwa mwombaji wa mkopo. Nisaidieni mwenye utaalamu au aliyefanikisha. Maana kila nikiattach hiyo form ya daktari...
0 Reactions
4 Replies
552 Views
Hivi mtu aliesoma AMO (Assistant medical officer),anaweza akasoma masters zipi kwa anaefahamu naomba anijuze..
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Wizara ya elimu imetoa muongozo wa utoaji mikopo kwa vyuo vya kati, lakini cha kushangaza kozi muhimu za fani ya afya (Clinical medicine, Pharmacy na Nursing) zimewekwa pembeni. Katika muongozo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau! Naomba wenye uzoefu waniambie kama itawezekana mtoto kupokelewa Chuo Kikuu mwaka wa Kwanza akiwa hana Cheti cha Matokeo (Results Slip). Karibuni, Pigangoma
0 Reactions
4 Replies
604 Views
Habari jamani, naombeni mnisaidie. Nimeapply nikafika mwisho lakini ikaniambia sijakamilisha preliminary info, nikarud kujaza hzo taarifa. Kila nikijaza niruhusu kuendelea na hatua nyingine...
1 Reactions
3 Replies
903 Views
Nawasalimu Nyote Nimekuwa na changamoto ya kupata AVN nilihitimu Diploma 2015...nikafanya hatua zote za online za kuiomba AVN nikafika mpaka NACTE wakaagiza chuo kiandike barua ya kuomba...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom