Moja kwa moja.
Taarifa imetoka sasa kuwa kesho ndipo uzinduzi rasmi wa muongozo wa uombaji wa huo Mkopo kizinduliwa rasmi makao makuu. Jambo hilo liliibuliwa mwaka huu kama pendekezo moja katika...
Wakuu kwa hisani ya Wazazi wote wanaotaka kupeleka mabinti wao ktk mikoa ya Arusha na Moshi kujiunga na kidato cha kwanza 2024 tunaoma kujulishwa Shule nzuri ktk mikoa husika.
Shule inaweza kuwa...
Hello,
Je, mtu akitaka kushift kutoka DUCE kwenda main campus inawezekana? First year GPA 4.8 , na ni step zipi za muhimu za kufata.
Reason: Kuna course ambazo hazipo Duce Bali zipo UDSM main...
Kuna Aina nyingi za kuzalisha umeme duniani. Na baadhi ya njia ambazo zimezoeleka ni kama vile, umeme wa maporomoko ya maji, umeme wa upepo, umeme wa jua, umeme wa makaa ya mawe na umeme wa...
Mimi ni muhitimu wa Kidato cha nne 2022.
Nimefanya selection za kwenda chuo na nimependekeza kozi ya physiotherapy Chuo cha Bugando, Kilimanjaro na Mbeya.
Naomba kujua kama kozi niliyo chagua...
Chapter Four
The Terror Racket
Formal / Informal Channels
As we have delved into the increasingly intricate nexus of cooperation between terror groups, tribal warlords, narcotics smugglers, and...
Habari wadau, nina vijana wangu wa darasa la nne na sita nataka nianze kuwafundisha computer science (kwa level yao) ili waendane na makuzi ya technolojia.
Kwa sasa computer nimeshawanunulia ila...
Mimi ni Mwanafunzi wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kilichopo Dar es Salaam, ipo hivi, Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) ilitoa nyongeza ya mkopo kwenye ada za Wanafunzi...
Jaman nna swali et kwa mwanafunzi anae endelea na masomo mwaka wa pili akiwa ana sap ya somo moja anaweza pangiwa mkopo endapo kaomba na alkosa mwaka wa kwanza?
Salamu.Mdogo wangu anapenda asome Bachelor in Nursing chuo chochote nchini namlipia ada na mahitaji yote. Ana PCB EDC anaeza pata chuo gani.
Ushindani ni mkubwa mwaka huu na yeye bado anapenda...
Natumaini mkoa salama ndugu zangu.
Nimechaguliwa course ya leadership and Ethics je kazi zake kwa upana ni lazima uwe mwanasiasa au aliyesoma hiyo course anaweza kuingia katika field gani...
Kichwa hapo juu chajieleza , ninataman kujua process za NECTA kufuta matokeo ya kidato cha sita Nilisoma PCB 2020
Nataka nisome EGM kwa mwaka mmoja(Qt)
Natamani kujua gharama ni kiasi gani?
Na...
Rejea kichwa cha habari hapo juu niliweza kupewa ushauri juu ya kusoma bsc in mechanical injinia lakin wana jamii forum mlinishaur vyema bora nijirndeleze elim ya juu zaid kwa msada zaidi nimepat...
Kama mdogo wako alisoma HGL,HGK,HGE,HKL.
Kama O-level ana principle passes za Physics, Bios na Chemistry mwambie asiende degree kama uwezo wa kulipia diploma ya afya upo.
Kama haupo basi afuate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.