Linapokuja swala la elimu nawakumbuka hayati Nyerere na Mkapa, hawa wakubwa walikuwa na dhamira ya kweli kuinua elimu ya Tanzania tofauti na awamu zingine........
Pamoja na katiba mpya kuna haja...
Habari wakuu
Niende moja kwa moja kwenye mada
Nahitaji kuifahamu zaidi hii kozi ya Actuarial science kikubwa inahusika na nini?? Na marketability yake ipoje?
Na ikitokea ukamaliza maeneo ya...
Kutokana na kuzuiwa kufanya shughuli zake za kudahili wanafunzi kwenda kusoma course mbalimbali nje ya nchi,tutegemee ongezeko la vijana wengi mtaani kukosa vyuo na kendelea na elimu
Habarini ndugu zangu.
Najaribu kujaza taarifa za mdhamini (GURANTORS DETAILS) kwenye website ya BODI YA MIKOPO tangu jana lakini inagoma kabisa.
Picha ya mdhamini inatakiwa iwe katika pdf format...
Msaada wa maombi ya mkopo wa elimu ya juu(HESLB) nilikuwa namuapplyia mkopo mdogo wangu sasa nimefika katika demograhic info nmejaza fomu vizur inalod tu ainipi murejesho naombeni msaada maana...
Mgabe alishawahi kusema fisrt class students become engineers, doctors and so and so
third class students become politicians, witch doctors and so and so in order to eat the money of the first...
Digital chemistry, au kemia ya kidijitali, inahusu matumizi ya teknolojia ya digitali kuchunguza na kuelewa mifumo ya kikemia. Hii inaweza kujumuisha utumiaji wa programu za kompyuta, algorithms...
Nilicreate account kwenye chuo cha NIT ili nimuombee mdogo wangu chuo round ya pili lakni nilipata shida ya kupata control number ya malipo ili niweze kuendelea na hatua nyingine... Lakin kila...
Je??mtu aliyesoma certificate ya clinical medicine(CA) anaweza kwenda ku-upgradre nakwenda kusomea course nyingine nje ya Diploma in clinical medicine ((CO)??mfano CAto diploma in dental,au hata...
Habari zenu,
Naomba mnisaidie kwenye hatua hii kwenye kuomba mkopo HESLB.
Kwenye kipengele cha kuattatch signed pages 2 na 5.
Je, ni pages gan zinazohtajika?
Msaada tafadhali.
Habari wana Jamvi, mimi ninaomba msaada nilijiunga Na UDOM mwaka 2021/2022 lakini kwa changamoto fulani nikashindwa kuendelea na Masomo nika postpone nikarudi mtaani sasa nimepata Scholarship...
Hapa huwa sielewi kabisa, yaani unakuta mnapeleka CV za elimu kwenye mataifa kama Marekani wao wanatambua form six ya Tanzania ni Sawa na form four ya Kenya how?
Waache dharau haiwezekani mtu...
Habari zenu ndugu.Nimepangiwa UDOM ,course inaitwa BACHELOR OF SCIENCE IN MULTIMEDIA TECHNOLOGY AND ANIMATION.Lakini mimi nilikuwa natamani sana kusoma BACHELOR OF SCIENCE IN CHEMISTRY.
Naombeni...
Habari wana jukwaa pendwa LA elimu . husika na kichwa cha habari hapo juu Jana selection za vyuo zilitangazwa na nikatumiwa SMS kuwa nimechaguliwa UDOM course ya bachelor of science in multimedia...
Habari poleni na majukumu ya ujenzi wa Taifa. Mimi ni mwanafunzi wa undergraduate wa mwaka wa pili nachukua course ya BSc MTA (Multimedia Technology and Animation).
Nipo likizo tumepewa jukumu la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.