Nimechagulia UDOM bsc in multimedia technology and animation. Pia SUA bsc in agronomy msaada koz hiipi ni zuri katika swala la ajira na kujia ajiri na vipi kuhusu mkopo
Bora bachelor degrees in information technology au bachelor degree in multimedia technology and animation
ushauri hapo pleasee, kozi ipi itakuwa ni nzuri kati ya hizoo kwa sasa?
Nashauri vyuo vikuu vibaki vitani tu vingine vifutwe. Huku maofsini tunapata shida sana kwa kuletewa incompetence products kutoka vyuo vya ovyo.
Wabishi bila kutoa solution , wavivu na wapinga...
Salam wakuu, nina dogo langu alikuwa anataka kurudi chuo mwakani na ufaulu wake wa o level ni huu apa
Biology- C
Mathematics- C
Chemistry- D
Physics- D
English -C
Division 2 ya pointi 21...
Nina dogo langu kamaliza diploma in civil engineering (DIT) mwaka 2022 hapo tu, ana overall GPA ya 2.8, lakini GPA yake ya mwaka wa mwisho ni 3.1.
Sasa swali langu ni kwamba je, TCU wanaangalia...
Hivi masomo ya MWEKA wildlife college hasa Bachelor ya Wildlife Tourism ipo adje naombeni mnipe hata intro ya chuo kipoje na masomo yake kabla sijaenda
Watu wa Mweka wildlife chuo kipo vip...
Salaam wana jamvi,
Samahani naomba kuuliza kwa wale wenye uzoefu na course ya Computer Science.
Mashirika ya serikali na binafsi ambapo ni potential kwa mwanafunzi kufanya field.
Habari za leo wana JamiiiiForums,
Naombeni mnijuze. Mimi nilifanya application ya chuo cha afya cha serikali na nikachaguliwa nursing. Ila nimejaribu kufanya tena application ili nichague kozi...
Hivi ni kweli Elimu ya mjinga ni Majungu?
Tena ni eti, Bora kukosa mali lakini Upate akili? Eti Elimu ni Bahari haina Mwisho.
maneno na misemo hii ya kiswahili ilikusudia nini hasa au...
Mimi sijasoma KWA MKOPO wala sijawah omba MKOPO elimu ya juu#HESLB
Nakwatwa pesa na nimeorodheshwa katika ORODHA ya wanufaika,ajabu hawana hata detail zangu za elimu yangu!
Nilifika ofisi kwao...
Hello JF,
Sijaona mahali wahitimu Tanzania walipoweka tafiti (research) zao.
Nawaombeni tutumie hii topic/ JF kuweka research zenu humu (ziwe peer reviewed ama not).
Lengo ni kujifunza kutoka...
Hello brothers and sisters
Nahitaji msaada wenu, katika process za application ya HESLB, nilihitajika kuwa na Birth verification no, so nikaaply RITA, leo ni siku ya 4 bado kimya, nilitegemea...
Salaam WanaJamii.
Naomba kujuzwa zaidi juu ya hii Course;
#Wahitimu ni Waalimu (wa Ngazi gani?)
#Je ni Ma-Engineer (kwa viwango gani)?
#Au ni Walimu na MaEngineer kwa wakati mmoja.
#Wanaweza...
Mafunzo ya Afya kwa kada ya kati nchi hii ni muhimu sana kwa vile wahitimu wa vyuo hivi ndio kwa kiasi kikubwa wanahudumia wananchi walio wengi katika suala zima la Afya ya msingi.
Hata hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.