Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Waungwana kwema jamani Ningepend kupata mzaada na e.imu kidogo kuhuxu maswal haya n CERTIFICATES EQUIVALENT maana nimesha lipia kila kwenye muemdelezo wa kujaza taarifa zangu kuna kipengele...
0 Reactions
0 Replies
455 Views
  • Closed
Anayejua kuhusu Kozi ya Instructional Design and Information Technology anijuze Nauliza juu ya hii kozi, mwenye kujua juu ya hii anihabarishe.
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari zenu? Nimefuatilia kwenye current prospectus ya Chuo kikuu Cha Diplomasia kurasini na hata chuo kikuu Cha Dodoma nimeona hawana kozi ya Masters ya ushirikiano wa kimataifa na Diplomasia...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Hey members JF, Naomba kujua jinsi ya kupata Results Slips za kidato cha nne maana nahitaji kwenda chuo. Kwa online mwenye kufahamu naomba anijuze
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habarini ndugu mabibi na mabwana, Nijikite moja kwa moja kwenye mada kama kichwa kinavyoelezea. Naomba msaada kwa mwl yoyote au mdau yeyote wa Elimu aliyewahi kufanikisha swala la kubadili idara...
2 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari.... Naomba nisaidiwe kutoka diploma ya biotechnology naweza kusoma bachelor yoyote inayohusiana na afya? Naomba msaada wenu
0 Reactions
2 Replies
878 Views
Wakuu nimekwama hapa nafanyeje.. Ina loading tu.. haiweki tick..
0 Reactions
2 Replies
368 Views
Habari za asubuhi Wakuu? Naomba kuwauliza kama vyuo vikuu vimeshafungua dirisha kwaajili ya maombi ya vyuo awamu ya tatu, na kama limeshafunguliwa vipi deadline ya kuomba ni lini?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Where to work? Field area? Also kwa Tanzania how inachukuliwa? Mnaolewa mnijibu tafadhali.
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari za asubuhi Wakuu? Naomba kuwauliza kama vyuo vikuu vimeshafungua dirisha kwa ajili ya maombi ya vyuo awamu ya tatu, na kama limeshafunguliwa vipi deadline ya kuomba ni lini?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Amani iwe nanyi, Alieanzisha uzi fulani akasema Udsm saiv kimekuwa kama cha kata bado namtafuta kwa udi na uvumba. Tuachane na hayo mkubwa atabaki kuwa mkubwa tu. Lengo ni kujua abc za kozi...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Chama Cha walimu TANZANIA na Chama Cha kutetea haki za walimu TANZANIA Hivi ni vyama vimeundwa Kwa mujibu wa Sheria Kwa lengo la kusimamia na kutetea haki na maslahi ya walimu. Tofauti yake: 1...
2 Reactions
22 Replies
5K Views
Ni matumain yangu mpo salama nahitaji msaada Kwa hili, Wakuu sijui kama ni Mimi tu. Nilikuwa najaribu kumuombea AVN number mdogo wangu nimeanza hatua ya kwanza vizuri hadi nikapewa password na...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Dunia sasa hivi imehamia kwenye ( computer technology) nataka nisome IT, chuo gani kizuri? UCC au VETA? Kama ni ucc branch gani wapo vizuri? (Udsm au Posta?) Nataka kwanza nisome kozi yupi...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Habarini wakuu. Yeyote ambae amepokea majibu ya application za vyuo kwa awamu ya pili atufahamishe[emoji4]
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, Nahitaji msaada niconfirm kozi ipi kati ya hizi ambazo nimechaguliwa katika second selection. Kozi zenyewe ni Bsc in Environmental health science-RUCU, Bsc in Agriculture in...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wasalamu ndugu wana JF wote. Historia ni somo muhimu na lenye tija sana kwa kuzingatia ukweli kwamba historia inatunza kumbukumbu muhimu kwa taifa, Kuanzia ngazi ya shule za msingi mpaka vyuo...
3 Reactions
14 Replies
517 Views
Habari wadau kuna mdogo wangu amemaliza Form Six (HKL) matokeo yake ni DEE. Kwahiyo nimemshauri akasome Certifcate ya Elim Maalum Patandi hata kwa Kutumia cheti cha form four maana ana Div One...
2 Reactions
0 Replies
816 Views
Habarini za kazi wadau! Kwa aliefanikiwa kufungua account ya kuombea mkopo wa vyuo bodi ya mikopo anisaidie, nashindwa kufungua account pale kwenye kipengele cha kuset password baada ya kuset...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau mambo vipi
0 Reactions
14 Replies
934 Views
Back
Top Bottom