Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari zene Wana jukwaa. Ninaombeni ufafanuzii katika maada tajwa hapo juu nikiwa namaana kwamba, mfano umegraduate ngazi ya degree katika course tajwa hapo juu ukakosa shavu la ajira ngazi ya...
0 Reactions
5 Replies
750 Views
Wandugu habari! Mwenye mawasiliano na hawa jamaa anisaidie au joining instruction ya chuo. Natanguliza shukran[emoji1545]
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Umuofia kwenu wapendwa, Katika takwimu za afisa elimu huyo za mwaka huu wa 2023 ameutangazia umma kuwa watoto 49000 kati ya 112000 hawajafanya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi uliomalizika...
0 Reactions
30 Replies
2K Views
Wakuu habarini, Tunaombeni mtusaidie kuuruhusu mfumo wenu ili utuwezeshe kufanya marekebisho. Fomu yangu imekatwa vibaya kwenye vipengele vya si/ndiyo (uthibitisho wa serikali ya kijiji au mtaa)...
0 Reactions
14 Replies
690 Views
1. Aina ya shule ( madawati, vitabu nadra). 2. Ufundishaji (idad kubwa ya wanafunzi Vs idadi ya walimu hususani wa Sayansi). 3. Matokeo ya mtihani wa kitaifa awamu ya elimu bure..maslahi ya...
4 Reactions
0 Replies
316 Views
Wadau salaam! Hivi karibuni nimehitaji kupatiwa Chti cha matokeo ya Kidato cha Sita kutoka kwenye shule ambayo mtoto wangu amemaliza. Cha kushangaza nikimwambia Mkuu wa shule anipatie cheti...
3 Reactions
14 Replies
822 Views
samahani wadau naomba kuuliza mtu akisoma BACHELOR DEGREE OF ACCOUNTING NA BACHELOR DEGREE OF BUSINESS ADMINISTRATION IN ACCOUNTING kuna gepu kubwa baina ya hawa watu wawili
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba kufahamu MICHEPUO MIPYA iliyopo kwa advance level, mbali na ile mikongwe ama iliyozoeleka.
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Member heshima yenu jamani, nahitaji kupata AVN kutoka nacte ila mpaka sasa sijafanikiwa, nimefuata kama wanavyoelekeza katika link yao, naomba kwa aliye fanikiwa kwa mwaka 2019 au mwenye updates...
0 Reactions
13 Replies
40K Views
Naombeni ushauri kuhusu hiyo Course About The Pros And Cons za kusoma hii course Pia Its Marketability In The Job Market Hapa Tanzania. Pia ningependa kujua possible professions zinazohusiana...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Habarini wanajamii, Naomba nizungumzie kwa uchache sana niyajuayo kuhusiana na ugonjwa wa kusahau ama kupoteza kumbukumbu unaojulikana kitaalamu kama amnesia. Kusahau ni kushindwa kukumbuka au...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau Nina mdogo wangu amemaliza form four mwaka jana amepata four ya 32 Kiswahili c na civics d Je ataweza kusoma course gani kwa hizi college....au ni ngumu??? Sent using Jamii Forums...
1 Reactions
32 Replies
11K Views
Wadau naomba msaada kutaka kujua kuhusu hiyo course inayotolewa chuo cha DIT kama inaweza kulipa kwenye soko la sasa la Ajira.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nitakribani mwezi mzima umepita, kumekuwa na changamoto kubwa sana katika system ya HESLB. Mfumo unagoma na siku zinazidi kwenda lakini changamoto nyingine ni kwamba hata huduma kwa wateja sio...
1 Reactions
6 Replies
596 Views
Kama ningefeli shule Ninayopitia Sasa bila Shaka nisingeyapitia. Kama ningefeli shule bila Shaka ningeenda veta na Sasa ningekuwa na ujuzi Fulani. Kama ningefeli shule bila Shaka jamii...
20 Reactions
43 Replies
2K Views
Samahani wakuu anaejua ama kuelewa kuhusu sponsorship za kusoma vyou vya afya atusaidie ambao hatuwezi kujiendeleza. asanteni
0 Reactions
1 Replies
748 Views
Natafuta mwalimu wa kufundisha kozi ya basic computer applications katika chuo kimoja jijini Mwanza. Kama una hii skillset karibu pm
1 Reactions
2 Replies
718 Views
Kwa heshima na taadhima, ninaandika kama mdau wa elimu nchini. Tangu kufunguliwa kwa dirisha la maombi ya mkopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu, waombaji wanashindwa kuwasilisha maombi yao kwa...
8 Reactions
97 Replies
6K Views
Naombeni kujua inausiana na nini hiyo kozi then nikisomea naweza fanya kazi gani haswa za kujiajiri au hatakama nikiajiliwa?
1 Reactions
4 Replies
792 Views
Nawaza second selection tu hapa sina raha
1 Reactions
8 Replies
410 Views
Back
Top Bottom