Je, kuna faida gani kwa mwalimu wa primary mwenye certificate kusomea diploma in primary Education?
Wakuu mimi siyo mwalimu lakini mke wangu ni mwalimu wa primary sasa anataka kwenda kusoma...
Kabla sijaenda kusoma Foundation mwaka 2022, nilienda kuwauliza UDOM kwny maonesho ya Vyuo vikuu, wakanambia wanapokea, na kuna mtu alinambia kwenye system yao ya kuomba udahili ipo sehemu ya...
Mimi ni mwanafunzi nilie maliza kidato cha nne naomba kuulza ni kozi ipi nzuri ya ajira naweza kusomea na ikawa rahisi kuajiriwa au kujiajiri yani ambayo bado ina fursa nzuri za ajiraa.
Wanabodi,
Nimekuja kwenu nikiwa naomba kufahamishwa kama kichwa cha habari kinavyojieza hapo juu.
Nakumbuka katika bajeti hii ya 23/24 ilitoa kipaumbele kwa wanafunzi wa mchepuo wa Science...
Wadau kama mnavojua malezi ya watoto nina mwanangu kijana wa darasa la 4 lakini huyu michezo imemzidi kiasi kwamba hata nimwambieje hasikii.
Mwalimu wake wa darasa naongea naye sana ananiambia...
Inakela sana toka majuzi napiga simu hazipokelewi zingine hazipatikani hii campus ya Dodoma ni wazembe sana.
Kama hamuwezi kupokea hizo simu futeni kabisa tujue moja, siyo kila mtu anaweza kufika...
Wadau mambo vipi?
Mdogo wangu anataka kusoma Shahada ya Uzamili katika Masoko (Masters in Marketing).
Je, achague chuo gani kati ya hivyo viwili chenye quality education?
Naomba ushauri,
Nataka kusoma MBA chuo kikuu cha Dar-es-Salaam sina background ya business nimesoma degree ya maswala mengine lakini nimeajiriwa kwenye position za Business kwa miaka mitatu na...
Bima ya Afya kwa wanafunzi wa Vyuo ni tatizo kubwa.
Mtu unalipia bima Lakini kadi hupati zaidi ya miezi saba. Wanafunzi wamelipa tangu mwezi wa tatu kadi za bima hazijatolewa na ukiuliza...
Habari za leo ndugu,
Jamaa, wazazi pamoja na marafiki, tunategemea kuwa na mtihani wa utimilifu wa darasa la saba, utakaofanyika jumatano na alhamisi katika shule zetu zote za umma pamoja na za...
Tumekua wahanga wa elimu kwa kufata mihemuko ama kwa kutokua na uelewa na mambo yalihusulo taifa, serikali imekua kipofu kwa ktokua na maono ya moja kwa moja kwa vijana wa kitanzania.
Course...
Suala la ubovu na uchakavu wa miundombinu katika taasisi za kielimu zimekuwa kilio kikubwa kwa Watanzania wengi Tangu kupatikana kwa uhuru mwaka 1961 mpaka kufikia sasa, hasa katika maeneo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.