Wakuu natumaini mko poa na poleni na mihangaiko.
Nina mjukuu wangu kamaliza 'la saba' mwaka huu na katika hangaika hangaika yake kafanikiwa kufaulu interview katika shule mbili, St Aloysius girls...
Form 6 leaver ,tuliwaambia ,mmefaulu Sana fanyeni maamuzi sahihi
Selection za mwaka huu, nadhani zimewapa SoMo kubwa Sana,kuwa na sifa sio kigezo Cha kuwa selected!
"Mlifaulu Sana" hata kwenda...
Nadhani mmeshawishiwa na wadau wa shule nyingi za sekondari ambazo hazina soko hasa kipindi hiki cha utahili wa watoto wanaotarajia kuanza form 1. Wazazi wengi tumekuwa tukiingia kwenye website ya...
Ni utaratibu wa kitaalamu, kitaaluma na ujifunzaji kisaikolojia wanafunzi na walimu kupata muda wa kupumzisha akili. Lengo la mapumziko hayo ni kuipa akili muda wa kupata nguvu za kusoma na...
Habari ndugu zangu wana JF, natumai mnaendelea vizuri
Kama kichwa kinavyojielezea hivi ni kweli kwamba kwa sasa serikali inatoa mkopo kwa wanaosoma elimu ya vyuo vya kati (CERTIFICATES & DIPLOMA)...
Naomba ushauri hivi kati ya Mining Engineer na Mineral Processing Engineer ipi ni nzuri kwa soko la ajira nimepangiwa DIT mining engineer.
Nataka kubadili ndiyo maana nauliza kwanza wakuu...
Kwa mliowai kupata full scholarship mnisaidie mawazo!!!
Najaribu kupta mitandaoni lakini scholarship hazieleweki plus zingine za kulipia
Nataka scholarship ya MPH full funded UK
Habari wakuu,
Kichwa cha habari chajieleza, nina darasa kwa ajili ya kujifunza kusoma, kuandika na kuhesabu Kiswahili na Kiingereza kwa watu wazima. Unaweza kuja darasani Yombo Dovya, Temeke...
Nimemaliza form 4 nimepata dvs 4 ya 30 nna falled mathematics na English .swali naweza soma electrical installation chuo chochote dar es salaam naomba msaada wakubwa kwa
Habari bandugu huku,kuna mtoto wa bro alimaliza cha nne miaka minne huko nyuma,SASA kaomba Kada ya famasi kapata chuo flani level ya diploma lakini ameona tangazo chuo mwanza university eti...
Dear CALVIN D JOSEPH,
Be informed that your verification took more time than expected due to the following:
1. Submitted attachments are not relevant for us to proceed with this verification...
Naomba msaidie dogo wangu afanyaje mana alikuwa hajui kama kajisajili postgraduate degree badala ya local undergraduate loan application.
Hivyo form inamsumbua hatari na ukiwapigia watu loan...
Wakuu naomba ushauri kuna dogo langu limesoma clinical medicine diploma sasa ana miaka 24 anataka kwenda degree ya clinical nutrition ya miaka mitatu SUA vip inafaa wakuu ushauri wenu
Kumekuwa na Situation ya wanafunzi wengi walio vyuoni kupunguza nguvu ya kusoma kwa bidii, Wanafunzi wengi wamekuwa wakijichanganya sana mtaani kwa shughuri za kuingiza japo pesa kidogo (Mishe...
Habari ndugu,
Niende moja kwa moja kwenye mada, kuna dogo alikuwa anasoma hii elimu ya kati,kamaliza certificate, mwaka huu kamaliza diploma yake.
Sasa nasikia kesho mwisho wa kuofanya maombi ya...
Kesho ndio mwsho wa ku confirm chuo gani unajiunga, short of that unakosa vyoye.
Msaada: Je nikiconfirm kwenda chuo fulani, lkn bado my preference sikuchaguliwa nataka kujaribu second...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.