Habari za jioni wana JF, naombeni msaada wa maelezo kwa wenye uzoefu, hususani mazingira kwa wanafunzi wa East Africa ambao si waganda, ubora wa elimu, ada ,hali ya maisha na vigezo vya kujiunga...
Nimeumia sana, mtu mtoto wa miaka 5 kampeleka boarding school, kamkabidhi shuleni kaondoka mtoto analia lkn hajali anayeitwa mzazi kaondoka, hivi unawezaje hata kulala usingizi mtoto wako wa miaka...
Bonjour
Kibongo bongo Ukitaka utusue maisha kwenye upande wa Elimu Kwa nyie wadogo zangu, at least usome masomo ya science, na sio usome tu, Yani usome na ufahuru , passmark zako ziwe vizuri...
Kwa mahitaji yote ya security system
usisite Tupigie
0758 476 215
kwa Bei Nafuu na ubora wa hali ya juu
iwe
cctv camera
motor gates
intercom
intruder alarm
electric fences
Tracking devices bila...
Ni ukweli husiopingika watu wa civil engineering ndio kada inayoongoza kupiga pesa nchi hii.
Lakini huwezi amini katika chuo kinachoheshimika TZ udsm kupitia college ya Uandisi the best course ni...
Kila mfundishaji akijitahidi afundishe mambo yanayohusu maisha ya kila siku, shida inayotukumba tulio wengi Tunaandika sana darasani lakini tukiandikacho hatuwezi kukitendea kazi.
Ni kwa sababu...
Imebidi nije hapa huu mtandao wa Loan Board hauko vizuri hasa hasa kwenye kipengele cha Preliminary information hakuna chochote unachoweza kujaza na uka submit na ukakiona kwenye preview. picha...
Habari wapendwa hope wote ni wazima,
Kama kichwa kinavojieleza Mimi naitwa timoth nimemaliza Bsc in agronomy SUA mwaka huu Nina gpa ya 3.8 nataka niunganishe master naombeni mnisaidie wakuu...
Salama, hii thread ni special kwa sisi tulioacha masomo ya chuoni na kufanya mambo mengne so tu naweza kujadili mbinu, athari, faida na changamoto tuliokumbana nazo kipindi Hicho
Binafsi niliacha...
Naombeni ushauri wakuu.
Hivi ni vibaya kusoma vitu tofauti tofauti na maansha diploma unachukia kingine then degree unasoma kingine.
Nia yangu ni nimepangiwa kusoma mining engineer diploma DIT...
Naombeni ushauri wakuu..hivi ni vibaya kusoma vitu tofauti tofauti na maansha diploma unachukia kingine then degree unasoma kingine,,,Nia yangu ni nimepangiwa kusoma mining engineer diploma DIT...
Nina shida kwenye status ya Nacte ambapo inasoma “Technician certificate” Yaan diploma one, Nilifanya mpango nikafika kweny ofisi zao wakaniambia tatizo ni kwenye semister one ambayo ipo pending...
Nina shida kwenye status ya nacte ambapo inasoma “Technician certificate” yaani diploma one, nilifanya mpango nikafika kwenye ofisi zao wakaniambia tatizo ni kwenye semister one ambayo ipo pending...
Leo tarehe 25.08.2023 TCU wametoa majina ya wanafunzi wa kidato cha sita waliochaguliwa kujiunga na vyuo mbalimbali.
Kama inavyojulikana, kuna ambao hupata "multiple selections", yani mwanafunzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.