Habari zenu wanajukwaa
Kwa sasa vijana wengi wamekuwa wafikiria kujiajiri baada ya kumaliza chuo badala ya fikra ya kizamani ya kufikiria kuajiriwa baada ya kumaliza chuo hii imepelekia hata...
Habari wakuu, naomba msaada wa mawazo.
Bado nipo chuo kikuu, mwakani na maliza masomo mwakani. Nimepata mawazo hapa kuwa baada ya kumaliza masomo apo mwakani nipitilize veta kuchukua kozi hata...
Samahan naombeni ushauri nmechaguliw course mbili hapo juu metrology and standardization cbe pia accounting and finance ardhi naombeni ushauri ndugu zangu maan zinanchanganyaa
In 1958, Nigeria's Chinua Achebe wrote his first novel book "Things Fall Apart" at the age of 28, which has sold over 20 million copies and has been translated to over 50 languages.
• It was...
Hawa madogo wa sikuhizi wanafikiri UDSM ndo kila kitu wakati ilikuwa zamani sio kwa sasa. Mtu yuko tayari asome Faculty ya kijinga kisa UDSM. Nilimshauri dogo aachane na UDSM maana kwa faculty za...
Kunakozi inatolewa Igurusi inaitwa Agriculture land use planing and management..
Vipi ndugu zangu ukimaliza unaweza patakazi wp na wp na je SOKO lake likoje?
Bonjour
Nataka kujifunza graphics and design, hivi Kuna haja ya kwenda college nilipie ada nifundishwe au nikikomaa na online tutorials naweza kuwa competitent?
Habarini ndugu, mimi nimemaliza diploma ya [clinical medicine] CO
mwaka jana nahitaji kwenda kusoma degree but AVN number inasumbua kuipata kwenye mtandao nifanyeje ,ama tatizo linaweza kuwa ni nini
Wakuu nahitaji assistance ya mtu aliepo Nacte ili anisaidie hii isssue yangu ya AVN, Kibaruani nipo busy sana nimeshidwa kupata muda wa Kwenda ofisi za Nacte, Nahitaji Connection za hapo Nacte...
Habari
AVN number kutofautiana na transcript ya chuoni.
Nifanye nini ili niweze kuappy chuo kikuu maana kwenye AVN number nina gpa 2.4 ila transcript yangu niliyokabidhiwa nina gpa 3.6
Ni matumain yangu mpo salama nahitaji msaada kwa hili.
Wakuu sijui kama ni mimi tu.
Nilikuwa najaribu kumuombea AVN number mdogo wangu nimeanza hatua ya kwanza vizuri hadi nikapewa password na...
WIKI moja tangu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, atangaze matokeo ya darasa lasaba na kudai ufaulu umeongezeka, baadhi ya walimu na wazazi wamefichua madudu...
Hello guys, habari za humu ndani wana JF.
Mi ni binti, nimemaliza form 6 mwaka huu na namshukuru Mungu nimefauru vizuri, nimepata dv 1 ya point 7 HGL, na niliapply vyuo baadhi na nimechaguliwa...
Samahani kwa usumbufu wadau kwa hili la tamko la TCU mimi naona wale diploma wenye GPA ya 2.9 waombe tu vyuoni. Nadhani watapata nafasi maana vyuo vitakosa wanafunzi. Au wewe mdau unaonaje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.