Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Ndugu wana JF, Niliomba kuuliza Ordinary Diploma zinazotolewa Bugando za afya, zinakuwa chini ya NACTE, yaani namaanisha, wanakuwa na mtihani wa mwisho unaotoka Nacte kama vyuo vingine vya kati...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Wana JF, Naomba kuuliza kwa sasa course gani ni nzuri kati ya hzo kwenye soko la ajira maana ndugu yangu amechaguliwa clinical officer (Ndolage) na Medical laboratory Bugando. Ipi ni bora...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Salaam ndugu zangu, Samahani naomba kuuliza kati ya IT na Computer science ipi course yenye fursa hasa kwa upande wa kujiajiri
0 Reactions
6 Replies
1K Views
  • Closed
Naomba ushauri: Nimechaguliwa Chuo cha CBE kozi ya information technology IT na chuo cha TIA kozi ya accountancy nichague kozi gani yenye soko kubwa la ajira?
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Mengi yamesemwa kuhusu nini kinarudisha elimu yetu nyuma. Ukweli ni kuwa lugha inamchango mkubwa kwani ndio msingi wa mawasiliano. Kwa hapa kwetu kuna lugha tatu za msingi: kingereza, kiswahili na...
1 Reactions
2 Replies
377 Views
Nilikuwa naangalia kazi za ndugu yangu hapa darasa la sita kuna kitu kimenitatiza kidogo. ni kipengele cha Simple present tense. Swali wameulizwa always, she.......calendar. mwalimu anasema...
4 Reactions
43 Replies
2K Views
Habari zenu mm ni mwanafunzi wa diploma medicine CMT. Kwa sasa nipo level 5 sem ya kwanza mwaka jana nilivyokuwa level 4 sem two nilipata supp ya pathology ambayo nilifanyia mtihan huu wa nacte...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari wakuu! Kama kichwa kinavyojieleza, Hivi msichana mwenye Divisheni 3 ya 14 katika mchepuo wa PCB anaweza kuchaguliwa kwenda chuo kusomea degree Ikiwa ndio, je anaweza kukubaliwa kwa kozi...
0 Reactions
189 Replies
31K Views
Habari WanaJF Eti nilikuwa naomba kujua Ukisoma "Bachelor Of Science In Chemistry " Unategemea kuwa nani Naomba Kujua Please Ahsanteni
0 Reactions
25 Replies
7K Views
Hizi ni kozi ambazo mtu anaweza akasoma kuanzia ngazi ya Certificate,Diploma, Bachelor au Masters na akawa name fursa kubwa ya kupata kazi nchi yoyote na ni rahisi kujiajiri kwenye sekta ya...
6 Reactions
32 Replies
16K Views
Kwa mtazamo wangu, homework ni ushahidi kuwa walimu wameshindwa kutimiza wajibu wao. Mtoto akiwa shule anatakiwa amalize mambo ya shuleni hukohuko. Akirudi nyumbani awe na majukumu mengine ya...
12 Reactions
43 Replies
2K Views
Nimesoma combination ya PCB nimemaliza form six mwaka huu na nmefaulu kwa division I-8 lakini sijafanikiwa kwenda Chuo kwasababu za kiuchumi naomba msaada Je ni course Gan za afya tofauti na MD...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari ya asubuhi wakuu. kuna rafiki angu tulisoma nae kuanzia darasa la saba tukafaulu then tukasoma wote hadi form 2. mwamba akaacha japo alifaulu now ameekewa umuhimu wa elimu ananiomba ushauri...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Wanajamii forum naomba kuulizia Ni kiwango gani cha Mshahara wa mfamasia na medical laboratory science kwa gazi ya degree kwa Zanzibar (s.m.z)
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari wana JF, Nakutana na changamoto ya kushindwa kuingia katika akaunti yangu ili niweze kuendelea na maombi ya mkopo, Yapata siku ya tatu leo tangu nilipo generate Control number, kulipia, na...
0 Reactions
0 Replies
613 Views
Hivi mtu aliyesoma Clinical Officer anaweza kusoma degree gani ukiachana na Doctor of Medicine?
0 Reactions
15 Replies
9K Views
Kwa anaefaham chochote kuhusu hiyo kozi inayotolewa na UDSM naomba anipe mawazo, kuhusu usomaji wake, field, na future. Karibun wana JF wenzangu! Kimsingi hii ni shahada ya ualimu inayotolewa...
0 Reactions
40 Replies
14K Views
Karibuni hapa tupeane taarifa na habari za hapa na pale kwa maombi ya vyuo vikuu kwa mwaka huu wa 2023/2024. Kwa wanafunzi wanaoomba au wazazi,walezi,ndugu na marafiki mnaowasaidia ndugu zenu...
3 Reactions
32 Replies
5K Views
Anonymous (0240)
Kwako Serikali yangu pendwa. Niliamua kukaa kimya ila baada ya kuona mambo yameanza kuniendea vibaya kabla sijaanza chuo imenibidi niikumbushe serikali yangu pendwa. Kitendo cha Serikali Kuondoa...
2 Reactions
5 Replies
513 Views
Ninataka kwenda kusomea umeme wa Magari lakini ninatatizika ni Veta gani iko vizuri kwenye course hiyo kwa hapa Dar Es Salaam au hata nje ya Dar Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom