Nianze Kwa kuipongeza serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania, kwa kuliona hili.
Hapo awali mishahara ya walimu ilikuwa flat rate(sawa), haikujalisha mwalimu amesoma masomo gani, kwa kifupi...
Bodi ya mikopo kwanini unapojaza taarifa kama tarehe ya kuzaliwa ya muombaji, wilaya mkoa bado kuna question mark mfumo haukubali?
Nani amefanikiwa kujaza hizi form kwanini mara hii imekuwa...
Hii kitu nimeona sana kwenye social media bio za watu wengi walosoma UDSM. Kama ni mwanamke utaona basi kawekan”UDSM Alumna” na mwananume ataweka “UDMS Alumnus” .
Ni vigumu kukuta mtu kaweka “IFM...
Nimeambiwa kwamba wanafunzi wa secondary nowadays wanasoma somo la computer na wanafanyia mtihani kidato cha nne,
Je, kuna ukweli wowote? Je, kuna syllabus ya computer kwanzia form one?
Habar ya leo wakuu,
Poleni na majukumu ya kujenga taifa.
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada,je ni sahihi kama unafanya maombi ya kusoma stashada ya ualimu (special diproma) kwa masomo ya...
Mliochaguliwa combination Tajwa hapo juu Za science PCM(Engineering) na PCB(Doctor, Pharmacy etc) mjipange ,hazihitaji Ubishoo/usistaduuh..hata kidogo lasivyo mtarudi CBE miaka miwili ijayo kila...
Nimekuwa nikijiuliza kwani kitambulisho maana yake ni nini? na kazi yake ni nini?, au vinatumika kwa baadhi tu ya watu na taasisi na sekta nyingine?. Wanafunzi wa Shule ya Msingi na Sekondari siku...
Habari wadau.
Naona vijana waliomaliza form 6 mwaka huu 2023. Wana heka heka na admission za chuo zilizoanza kutoka.
Ushauri wangu kwao watambue ajira zipo chache sana zama hizi kama sio...
Kwa uelewa wangu nnavyo kumbuka inakua hivi (kama nimesahau kitu jazia).
1. Kwanza lazima ahitimu shule ya msingi (miaka 7)
2. Lazima ahitimu na kupata ufaulu wa juu, one au two katika elimu ya...
Habari zenu.
Mimi ni Frank 23yrs old ni graduate wa Stashahada (Diploma) ya Business Administration, natarajia kuendelea na shahada (Bachelor degree)naomba ushauri wenu wakuu kwenye kuchagua kozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.