habari zenu wana JF
Nombeni msaada.
Nashindwa kuhakiki cheti changu kila nkifika hatua ya kuweka document inanambia niweke tena, msaada kwa anaejua shuda hii.
Wakuu leo kuna rafiki yangu wa A-level nilimkumbuka nikajikuta nimekumbuka mambo mengi sana ya enzi hizo miaka zaidi ya 15 iliyopita. Ni kwamba mimi ni mojawapo wa watu tunaojivunia kusoma mchepuo...
Habrini ndugu zangu,
Samahani naomba kama kuna mtu yeyote aliyesoma maswala ya Natural Resources Management and Assessment either bachelor au Master anicheki kuna jambo naomba kusaidiwa.
Asante...
Na Halima MlachaAugust 17, 2023
TAASISI ya Elimu Tanzania imetoa mtaala wa elimu ya msingi kuanzia darasa la kwanza hadi la saba 2023.
Muundo wa mtaala huo umebadilika na sasa elimu hiyo itakuwa...
Habarini wanajamii,
Naomba kufahamishwa kwa mtu mwenye bachelor of pharmacy na master of chemistry specialized in environmental chemistry soko lake lipo vipi hapa nchin Tanzania.
Hellow guys
naomba usaidizi kwa aliye na group la kidato cha sita private candet arts combination's especially HGK OR HGL wanaotaraji kufanya mtihani mwakani
please tuwasiliane tafadhari kama...
Ndugu zangu mliowahi kusoma, wenye uelewa na ufahamu mnisaidie kozi ipi inalipa sana na ajira bora kati ya Marine & Refrigration engineering na water suppy & sanitation engineering.
Wakuu naombeni msaada jinsi ya kujiunga na chuo cha ubaharia (DMI) )kozi zake kina anzia pesa kiasi gani.
===
UFAFANUZI NAMNA YA KUJIUGA NA CHUO CHA DMI
Applications for admission are invited...
Nakuunga mkono mh.Waziri wa Elimu Prof.Mkenda.
Hatuwezi kuwa na Vyuo ambavyo havielewi maana ya Specialisation badala yake vinakimbilia kwenye fani uchwara Kwa visingizio vya kuongeza mapato na...
Can all the laws of physics be expressed as a set of mathematical equations?
Yes,
Mambo ya kufikirika :D :D :D :D :D :D :D :D :D
Albert Einstein giving a lecture on relativity at a...
Hakika hili limekuwa ni gumzo kati ya miaka kadhaa ya nyuma mpaka sasa ambapo elimu ambayo imekuwa ikitolewa haina mashiko ya kumnufaisha muhusika kufikia kile anachokipambania ni kwasababu elimu...
Wadau nimeomba kufanya masters ya HRM toka Open Univesity of Tanzania. Naomba aliesoma au anaesoma hii coz tufahamiane iwe rahic kushare material. Thanks in advance!
Ddr ni kozi ambayo haifahamiki sana miongoni mwa watu.
Diploma in diagnostic radiography inatolewa na vyuo viwili tu Tanzania ambavyo ni muhas and cuhas. Ni kozi ambayo degree yake inatolewa na...
Habari wadau wa elimu ,naomba kuuliza:
hivi Ni kwanini walimu tunatakiwa ku identify mwanafunzi Kama delicate entity ,na wakati unaandaliwa kuja kwenye ulimwengu ambao Ni hursh sana?.
Kwasababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.