Habari zenu wana JF,
Nilikuwa naomba mnitajie shule nzuri y serikali kuna dogo nataka nimuamishie pale.
Kati ya hizi ipi nzuri na inapatikana maeneo au mtaa gani.
NA. JINA LA SHULE
1 Aboud Jumbe...
Naombasaada katika kijaza demographics information katika olams. Nikijaza inakuwa inazunguka tu nikisubmit, je nini changamoto pale maaana watu wa mkopo hawapokei simu
JamiiForums
Habari na Hoja mchanganyiko
Natangaza haya hadharani
Thread starterCuba o cuba Start date33 minutes ago Tagshadharani haya
Unwatch
•••
Cuba o cuba
Member
33 minutes ago
Add bookmark...
Utafiti wa Wizara ya elimu unaonesha kwamba kumekuwa na Wimbi kubwa la Wanafunzi Kukacha Kidato Cha 5 na 6 badala yake Kujiunga Vyuo Vya Elimu vya kati ngazi ya Diploma.
Kwani Kuna nini huko...
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) imetangaza matokeo ya kidato cha sita mwaka 2023 huku yakionyesha ufaulu wa jumla umeongezeka kwa asilimia 0.26 ikilinganishwa na mwaka jana.
Akitangaza...
Habari zenu wakuu,
Naombeni msaada kwenye kutuma maombi ya uhakiki wa cheti cha kuzaliwa RITA. Pale kwenye kipengele cha kukituma cheti inagoma kabisa ku attach file yani kila ni ki click pale...
Lugha ya Kiswahili inazidi kuchukua umuhimu wake Duniani.
---
THE University of Havana in Cuba is set to start providing Kiswahili language courses in the next academic year, Deputy Minister...
Wadau naomba ushauri juu ya programu ya bachelor of science in clinical nutrition and dietetics inayotolewa UDOM ina ubora zaidi ya ile bachelor of NUTRITION inayotolewa SuA ama ziko sawia kimasoko
Wakuu, ninaamini kila mtu amewahi kuhudhuria shule kwa njia moja au nyingine na kila mtu hapa amefundishwa na Mwalimu katika ngazi mbalimbali...kuanzia msingi, Sekondari mpaka Chuo.
Ni mwalimu...
Kila mtu ana somo ambalo halikuwahi kuwa rahisi kwake. Labda kwa wachache ambao ni exceptional wanaweza wasiwe walikutana na hii situation.
Nimekumbuka enzi zangu nipo chuo. Katika harakati zangu...
Some of the most unintelligent people I’ve met had Ph. Ds or ran large companies.
I don’t mean that in a sarcastic or ironic way, I’m being completely serious.
This seems impossible, but it’s...
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU JAMBO HILI
Mimi ni mwanfunzi nimehitimu kidato cha nne last year, binafsi napenda mambo ya Afya na Engineer
Mimi nimebalance comb ya PCB NA PCM ila...
Habari ndugu zangu,
Nianze kwa kuwapongeza wale wote waliofanya vizuri mitihani yao ya kidato cha sita. Niwapongeze pia walimu na wazazi bila kuwasahau walezi wa wanafunzi wetu hao. Niende moja...
Jamani nina kamjomba kangu kamepata division 1.9 ya PCB.
Yani Physics C, Chemistry C, Biology C, BAM D na GS C.ndoto zake ni kuwa daktari wa binadamu. So nimejaribu kupitia matokeo yao ya mwaka...
Hoja:
Upatikanaji Mbovu wa Taarifa na Ufanisi wa Mifumo ya Uwakilishi:Wanafunzi wanapata changamoto katika kupata taarifa muhimu vyuoni kutokana na mfumo dhaifu wa mawasiliano. Mifumo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.