Since nimeingia advance sijawahi kupata zaidi ya 50marks kwenye chem&phys zaidi napataga kwa bios isitoshe mtihani wangu wa annul form five nimepata zero ffs respectively kwa PCB sasa nimekata...
Nisaidie tumsaidie huyu kijana kufanya maombi ya kujiunga na chuo UDOM
1. Pass za kijana ni 13 III G studies D, Geogr D, Chemistry E , Biology D, BAM F
2. Kozi gani anaweza kusoma UDOM be it...
WanaJF hivi inawezekan kwa mtu aliyesoma diploma ya Mechanical kusoma Civil Engineering katika chuo cha UDSM au Ardhi kwa upande wa civil lakini vipi kuhusu kutoka Mechanical Diploma af kusoma...
Naomba msaada wiki nzima sasa nimekwama kwenye demographic infro mtandao kila niki submit nashindwa kwenda mbele mfumo upo slow unashindwa kupokea data.
Je, nifanyaje?
Intelligent people are often assumed to have it all together. They are seen as successful, accomplished, and highly capable. However, this assumption overlooks the emotional challenges faced by...
wapi ni pazuri kwa kusomea na usanifu katika kozi za uhandisi(Engineering)?
I mean mwanafunz akitoka anakuwa compitent!
Mostly kwa kozi za COMPUTER ENG and ELECTRONICS & TELECOM ENG for dit and...
Habari za majukumu wakuu, kama kichwa Cha habari kinavyojieleza naombeni Kwa mtu mwenye MAWASILIANO, namba za simu au hata email ya kumpata Dkt. Msonde anisaidie nna shida personal ya kumweleleza...
Nilifanya application nikasubmit, lakini nimeshawishika kufanya marekebisho ya course. Ni kama hawajaweka hiyo access au ni mimi tehama inanipiga chenga? Naomba msaada...
Watoto wanahangaika kuomba vyuo vya kati ambavyo viko chini ya NACTEVET. Hawapokei simu na kuna mambo muhimu yanayohitaji ufafanuzi. Unapiga simu zote hazipokelewi nchi nzima.
Rutayugwa unafanya...
Kwa hili acha niwapongeze Bodi ya Mikopo ya elimu ya juu kwa kuwaongezea ada hawa wadogo zetu huko vyuoni maana hali ilikuwa mbaya sana.
Na nyie wanafunzi someni sasa acheni anasa.
ASANTE.
Wadau wa elimu nina mdogo wangu ana diploma in Nursing and midwifery na anapenda kujiendeleza kimasomo anaomba ushauri ni kozi gani nzuri anaweza kwenda kusoma ukitoa Bachelor of science in...
Ili Taifa liwe na maendeleo ni sharti liwe na watu wenye elimu sahihi. Watu wakiwa na elimu sahihi, Taifa litapata viongozi bora, watumishi wa serikali wenye weledi na uaminifu mkubwa, wataalamu...
Salaam,
Hii ni kwa wale ndugu zangu wa PCB wenye matarajio ya kwenda medical schools(hasa public universities) lakini competition itawaondoa.
Jaribuni kozi nyingine nje ya field ya afya pale...
Habari wana JF!
Nina mpango wa kutimiza ndoto yangu ya muda mrefu ya kuanzisha chuo kitakachokuwa kinatoa course kwa ngazi ya Cheti na Diploma kwenye fani za Kilimo, Mifugo na maendeleo ya jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.