Mzigo wangu umerudi baada kukata hadi kupitiliza. Imenichukua takriban miaka 2 pesa ndio imerudi jana. Ajabu wao inarudi bila ya kuwa na Value Retention.
HESLB tengenezeni mfumo ambao mtu...
Jamani habari zenu kama tunavyojua mtu akitaka kuapply mkopo wa elimu mwaka huu mfumo umebadilika.
Kama kuna mtu amefanikiwa kutuma maombi ya mkopo au mwenye changamoto naomba tujadili jinsi ya...
Nina ndugu yangu hapa darasa la tano namwaambia inagawanyika kwa mbili baki moja haelewi,
ameng'ang'ania mwalimu kamwambia inagawanyika kwa tatu na majibu kawapa.
swali: andika namba witiri kati...
Habarini za jioni wadau wa JF?
Mimi ni mmoja kati ya mlezi ambaye wiki mbili zilizopita nilipigiwa simu kuhusu kufanya maandalizi ya kambi kwa ajili ya mwanafunzi wa kidato cha nne.
Niliipokea...
Hii nchi kila kitu ni cha hovyo. HESLB mmefungua dirisha la kuomba mkopo lakini mpaka muda huu watu bado wanaohangaika kukamilisha vipengele.
Mfumo wenu ni mbovu nimelipia control number lakini...
DAAD Masters Scholarship 2023 for African Students (Fully-funded) | Study-In-Germany
✅ “Leadership for Africa” Programme for Chad, DR Congo, Niger, Nigeria, and Togo: Master’s Degree Scholarships...
Nimepata nafasi ya kukutana na Watu Wengi ikiwemo wabunge na madiwani na Kati ya mada Nilizoongea nao Ni Kuhusu Elimu yetu na Vijana wa kitanzania.
Natamani kusema mfumo wa elimu Ni mbovu na...
MIMI NIMEHITIMU KIDATO CHA NNE NA SITA. KIDATO CHA SITA PCB NIMEPATA "ESE" NIKAONA SIWEZ KWENDA DEGREE NIKAENDA SOMA FOUNDATION PROGRAM YA OUT (1YRS) SIJUI MUNAIJUA hii program NIKAPATA GPA YA 3.5...
Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji ameshiriki hafla ya Uzinduzi wa Chuo Cha biashara (CBE) tawi la Mbeya kilichopo katika Kata ya Iganzo, Wilaya ya Mbeya Mjini Mkoani Mbeya, leo...
Jamani habari zenu wajuvi wa mambo. Nina mjomba wangu amehitimu 2022 form 6 PCB alipata CCD.
Sasa anaforce mambo ya course za afya na anaomba ushauri wa kozi gani ina soko la uhakika kati ya md...
Wakuu nina interest ya kusoma post graduate diploma ya uchumi pale chuo cha diplomasia kurasini nina masters ya biashara, ninaomba kwa anaefahamu ada kwa kozi ni shilingi ngapi anisaidie kwani...
Hello
Samahani mwenye kujua jinsi gani naweza kupata selection za form one kwa wanafunzi waliomaliza std 7 mwaka 2023.
Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
Ipu ni course nzuri ya kusomea Sheria kati ya "Bachelor of Laws" na "Bachelor of Law Enforcement?"
Nitashukuru kama utaniambia ipi inajikita na Nini haswa .
Na ipi ni rahisi kujiajiri / kuajiriwa.
Nimekuwa nikiuliza wanafunzi wengi kuhusu ndoto zao za baadae lakini wengi wao walionekana kukata tamaa kutokana na tabia za walimu wengi wanaofundisha masomo ya sayansi na walimu wa taaluma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.