Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Jamani wadau naombeni ushauri wenu. Mdogo wangu amepata division 3 ya points 14 ktk combination ya HGL. Sasa hajui kama anaweza kupata chuo. WanaJF naomba mnisaidie nimshauri afanye applying vyuo...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wenye experience kuhusu degree ya sheria • Kwanini Law inayotolewa udsm ni miaka minne na mzumbe ni miaka mitatu • Kuna tofauti kati ya mhitimu wa Law aliyesoma miaka minne na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwanini wanafunzi wanaotuma maombi kujiunga na vyuo vikuu ambao hawajafaham vizuri kozi zinazotolewa na vyuo husika, wanatakiwa kulipa kwanza hela kabla yakuchagua kozi!!! Kitu ambacho...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Hello JF, Sijui wanachuo wangapi wana laptop na access to internet, Kuna system nimeiona ya kurecord lectures, Lecturer anakua recorded akifundisha, Halafu inawekwa kwenye system ,mwanafunzi...
6 Reactions
30 Replies
3K Views
Mnakumbuka enzi zile za kusolve paper za silunka .Ebu tukumbushane enzi za accountancy partner ship na royalty
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Naweza kupapata kozi IFM nina EDD kombi ya EGM
0 Reactions
6 Replies
923 Views
Wakuu Naomba Msaada wa kujua chuo kinachotoa Elimu ngazi ya Diploma Upande wa Masomo ya Biasahara yaani Commerce na Bookkeeping. Naomba kujua pia kama ni chuo cha Serikali AMA cha Binafsi naomba...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani wakuu msaada wenu tafadhali, mnaonaje mimi mdogo wenu nikasome Business Administration diploma na mnanishauriaje? pia kwa ajira nitapata baada ya kuhitimu? Naomba niwasilishe.
0 Reactions
30 Replies
2K Views
Wakuu habari, ni imani yangu mnakumbuka ule uzi niliouweka hapa jukwaani siku chache na wengi wenu mlinipa ushauri mzuri. Sasa na jambo hapa baada ya kupitia Mashauri yenu na Kwa sababu bado na...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
jamani nimepotea njia. Najaribu kuomba vyuo vya afya NACTE. Sioni vyuo vya afya vya serikali, say Lugalo, Kibaha etc. Kuna nini? Utaratibu kwa sasa ukoje?
3 Reactions
1 Replies
384 Views
Habari zenu waungwana, nina swali moja, Hivi kwa mfano umesahau namba yako ya mtihani wa form 4 na unataka kujua matokeo yako kuna njia ya kuifaham hio namba na kupata kuyaona matokeo yako?
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Jamani ndugu zangu, kwa yeyote mwenye namba ya simu ya Bodi ya mikopo (HESLB) inayopatikana kwa urahisi anisaidie ili niweze kufanya mawasiliano nao; Huu mfumo wa kutuma maombi unanichanganya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari jamani Naomba ushauri je kati ya kozi ya Business administration na clinical medicine ipi bora na ajira zake zinapatikana sana
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wakuu habari za jioni. Miezi kama mitano iliyopita nilikuja kuomba ushauri wa kozi ya kusoma nikapata michango mingi ya wana JF niwashukuru sana kwa hilo. Kiujumla nimedhamiria kusoma diploma ya...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Anaekifahamu hiki chuo anijuze naona kinaanza kutoa AMo
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Hivi ni kweli kwa taasisi kubwa kama board ya mikopo imekosa wataalamu wa IT wakaweka mfumo rafiki kwa waombaji wa mkopo? Mfumo una mapungufu mengi sana na sasa ni wiki ya pili unasumbua: 1...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Kijana huyu mwenye amri mdogo ana akili iliyotulia kinoma, miaka ya hivi karibuni alifanya kazi katika Shirika la Twaweza akiwa kama Assistant data analyst alibahatika mwaka jana Mwanzoni kupata...
10 Reactions
36 Replies
5K Views
nataka nikasomee health records and information management .... naomba kama kuna mwenye uwelewa juu ya hii kozi na pia je upatikanaji wake wa ajira ni mrahisi au mgumu?
0 Reactions
20 Replies
14K Views
Je naweza kupata Degree ya Electrical Engineering kupitia VETA? Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
16 Replies
7K Views
Wanajamvi habari. Ninaomba kufahamu kama kuna tution center kwa wanaorudia mitihani ya kidato cha sita ya masomo ya sanaa maeneo ya Mromboo au Intel.Nikipata mawasiliano itakuwa vizuri sana.
0 Reactions
0 Replies
905 Views
Back
Top Bottom