Habari Wana-JF,
Nilikua nauliza nataka ku apply degree chuo cha IFM course ya computer science ila je ufundishaji wao ni sawa na chuo Cha UDSM au UDOM katika nyanja ya ufundishaji na mazingira?
Miaka ya zamani ukisikia mtu amepata division one ni heshima kubwa sana kwake kuanzia shuleni mpaka mtaani anapoishi, ukipata one ya Saba kwa O-Level au ya 3 Advance basi mkoa mzima utapewa...
DAR ES SALAAM UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION
RAMADHANI BARAKA SHALA
Email: barakashala551@gmail.com
WhatsApp No: +255762301305
Question: Referring to the theories of peopling of West Africa...
Kuna mdogo wangu amemaliza form six mwaka huu na amepata faulu wa 1.9 mchepuo wa HKL kambiwa na mzee achague fani lakini vyuo ni mbeya na mwanza sasa yeye anapenda mambo ya elimu lakini Mimi...
Top 10 ya Shule Bora Matokeo ya Form Six mwaka 2023 Kwa Kigezo Cha Ufaulu kama ulivyopinwa na GPA ya kila Shule.
1.Ahmes
2.Tabora Boys
3.Marian Boys
4.Kemebos
5.Kisimiri
6.Mzumbe
7.Nyaishozi...
Nimeaminiwa kumfanyia application ya chuo kikuu mtu anaetumia equivalent qualifications kujoin Chuo... Wakati wa process nikaombwa Award Verification Number.
Inaonekana ni mtihani mzito kdg...
Habari zenu wakuu. Mwanafunzi mwaka jana aliomba vyuo viwili akapata vyote CBE na TIA. Aka-confirm CBE. Shida ikatokea mkopo hakupata hivyo hata chuo hakuripoti kabisa sababu mpaka batch zote...
Msaada Bachelor Course ya Cyber Security & Digital Forensic na Bachelor Degree in International Relations and Diplomacy
Je, Competition & Effectiveness Zao Uraiani Zipoje?
Matatizo mengi makubwa ya Tanzania ni elimu. Hivi ukila chakula wakati mwili hauna digestive system kutakuwa na faida ya wewe kula? (Reading without reflection is like eating without digestion)...
Kuna mdogo wangu mmoja hapa alikuwa ameomba chuo India ila wamemwambia atume A level marksheet.
Sasa naomba kuuliza unaweza pata hio marksheet, wizara ya elimu kule???
Maoni yako ni yepi juu ya hili:
Wahitimu wa form six masomo ya Sayansi (PCM, PCB, CBG) wana uelewa zaidi kuliko wahitimu wa vyuo waliosomea ualimu.
Kuna mdau ameshauri wahitimu wa form six wawe...
Habari ya muda huu ndugu wanajamvi. Ninaomba kukujulisha ya kuwa mambo yafuatayo ninaweza kufanya
1. Data Entry using SPSS.
2. Data analysis using SPSS & STATA.
3. Kufundisha STATA kama...
Mtoto wangu yuko kidato cha pili shule ya binafsi.
Kutokana na hali ngumu ya kifedha naomba kujua kama kuna uwezekano wa kumhamishia shule ya Serikali
Niko Dar asa
Matokeo ya Form 6 yametoka, tena Kuna shule nyingi ambazo Wanafunzi wote Wamepata division One tu. Mchepuo wa PCB Kuna Division 1.3 Kama zote.
Zamani ilikuwa ngumu sana kuona Ufaulu wa namna...
Kama mada inavyojieleza hapo wakuu, naomba kufahamu uzoefu walopata wale waliopitia mfumo huo wa elimu kupata shahada zenu. Hiyo ikihusisha namna ya kusoma ugumu na wepesi na pia baada ya kumaliza...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu uliza swali lolote kuhusu Anatomy nitakujibu hapa.
Karibuni
NB. Anatomy ya binadamu sio kiumbe mwengine.
Naona watu wanachanganya kati ya Anatomy and...
1. Ufaulu huu mkubwa tulioushuhudia si kuwa watoto walisoma sana na kuwa na uwezo wa kujibu maswali. Kwanini nasema hivyo:
Haiwezekani shule ambayo mwaka jana ilikuwa na 90% or so Div 0/Div 4...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.