Habari wanajamvi, kama kichwa Cha habari kinavyosomeka hapo juu naomba kwa mwenye uzoefu na aliyewahi kusoma A level Kwa muda wa mwaka mmoja alifanyaje akawaweza kufanya vizuri katika mitihani ya...
Wakuu Habari Zenu kuna kamsamiati kidogo sikaelewi kwenye hii kitu mim ni Adavance mweiz wa kumi nategemea kujiunga na chuo sasa kuna course moja nimetokea kuipenda ni ya Radiotion Therapy iliyopo...
Habari zenu wakuu
Nimetokea kupendezewa na fani ya Cooling system ambayo inajumuisha:-
Refrigerator,
Home and Offices Air condition,
Car air condition'
Truck body air condition
Halls air...
Ndugu wana JF issue yenyewe ni hii hapa; mimi nahitaji sana kusoma Diploma ya Orthopaedic, ambapo course hiyo inahitaji masomo ya biology, chemistry na physics. So nilifanya chemistry, biology na...
Wadau, swali hili limekuwa likinisumbua kwa miaka mingi, hivi kwa nini walimu wetu wa vyuo vikuu kwa asilimia kubwa huwa wanafurahi sana wanapoona wanafunzi wao wakifeli masomo wanayofundisha...
Hongereni sana kwa kufaulu. Hapangiwi mtu kusoma kozi Fulani au chuo Fulani.
Ushauri kwa vijana wetu ni muhimu.
Wapo watu wana mitaji ya kuanzisha shule zao hao wakisomea ualimu wa sanaa vyema...
Hello habari
Nilikua nauliza mtu ambaye ana bachelor degree moja na Advanced level alisoma CBG anaeza soma bachelor ingine ya afya mfano pharmacy , Radiotherapy, MD etc?
And je cheti cha...
Mnaweza kukuta mnapitia baadhi ya maswali ambayo yalishakamilika kwenye attachment hizo hapo chini
Pia yapo majibu ya maswali yote yaliyowahi kutajwa kwenye post hii hapa chini...
Jamen nataka kuulza hv selection za wanafunz waliofutiwa matokeo kidato Cha 4 Wakafanya mtihan na form 6 may hazjatoka tu!!! Kuna mdogo angu hapa amefaulu vzur mtihan wa marudio lakin mpka sasa...
Habari wakuu kwanza kabisa nawasalimu wakubwa kwa wadogo habari zenu?
Mimi nahitaji msaada wa mawazo yenu na msaada wenu huu ni mhimu sana. Nina Mdogo wangu kasoma EGM Advance kahitimu mwaka huu...
Attention students and recent graduates! The Queen Elizabeth Commonwealth Scholarships (QECS) have just announced their scholarship program, offering a unique opportunity to study a two-year...
1. Leeds University Scholarship 2023/2024
Programmes: Accounting and Finance
Country: England
Level: PhD
Financial coverage: Fully Funded
Deadline: May 31, 2023
Apply: Leeds University Business...
Hii sijui hua inatokea nini.
Ukikutana na mseminary mwenzako hata kwenye harakati za maisha ghafla mnakua marafiki na mnaanza kuwabagua wale waliosoma shule za kawaida kawaida.
Iwe mtu alipita...
Habar ya mda huu humu,
Bila kupoteza wakati napenda kuuliza, Hivi ni kwanii katika kutuma maombi ya kusoma kozi za afya kwa chuo cha Ruaha Catholic University maarufu kama (Ruccu) kilichopo...
Heshima kwenu,
Serikali ya awamu ya sita ilitangaza kufuta ada kwa kidato cha 5 na sita kwa shule za serikali ambayo ilikuwa ni shilingi 70,000/=.
Nimepitia fomu za kujiunga na kidato cha 5...
Aisee kuna jamaa yangu ananiambia hapa kuwa SUA wamedisco wanafunzi 1800 Mwaka huu. Sasa sielewi either wanafunzi hawasomi au elimu ya SUA iko tofauti na vyuo vingine.
Naomba ufafanuzi
Habarini ndugu zangu
Nina kijana wangu kaomba chuo cha muhimbili tangu tarehe 15 mwezi huu lakin kwenye kupata namba za malipo imeandika please wait mpaka leo, najaribu kuwapigia simu hawapokei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.