Mdogo wangu amepata Division 1 ya point 16,,, physics C, chemistry B, biology B, mathematics C. Mwanzo alichaguliwa CBG kwenye shule ambayo haina PBC. Yeye anataka akasome PCB, tunajaribu...
Kwa wale ambao mmeshawahi kupitia na kupiga za CPA ambao upo chini ya bodi ya wahasibu Tanzania.
Na wale ambao mmeshawahi kupitia kupiga Pepa za law school of Tanzania.
Hebu tuambiane ukweli ni...
Global Education Link yawakaribisha Wanafunzi wa ngazi mbalimbali za Elimu ya juu kutembelea katika Banda lao lililopo kwenye maonyesho ya 18 ya vyuo vikuu nchini Yanayoendelea katika viwanja vya...
Akizungumza na Waandishi wa Habari Mkurugenzi wa Taasisi inayowakilisha Vyuo Vikuu vya nje ya Nchi Tanzania (UAR) Tony Kabetha ameiomba Serikali kutoa mikopo, kwa Wanafunzi wanaoenda kusoma nje...
Habari Wana Jf
Mimi sio mwandishi mzuri Sana Ila Lengo langu Ni kujua vyuo vinavyotoa hiyo huduma I mean open University
Nahitaji kusoma nikiwa kazini kwa mfumo wa ONLINE BILA KUGUSA ENEO LA...
Nina dogo langu ameng'ang'ania kusomea ualimu amemaliza six ila hajafikisha point za kuchaguliwa degree
Nikaamua nimuombee vyuo vya ualimu vya kuanzia certificate na amechaguliwa Mpwapwa tc
Hivi...
Habari zenu wakuu, nataka kuhakiki cheti cha kuzaliwa kwa ajili ya kuomba mkopo (HESLB) kwenye mfumo wa online eRITA.
Nimejaza details zote lakini kuna moja "entry no" ndio sijui nijaze nini...
Kuna mwanafunzi alikuwa anasoma hiyo comb sasa katika matokeo amepata Geography E, Economics E na mathematics F. Je anaweza kuchukua diploma na vipi kuhusu akitaka kurudia paper kwa unafuu zaidi...
Umekosa Principal pass mbili/D mbili (points 4.0) za kwenda chuo kikuu?? Bado nafasi unayo Tena...
Wakubwa njoeni tuwape mpango mkakati ili kufikia malengo...
Habari za Jumapili wanajamii, mimi ni mhitimu wa bachelor degree ya accounting nataka nijiunge na tuition center yani cpa review classes hapa DAR ES SALAAM ila sijajua ni mahali gani pako vizuri...
Kitabu hiki kinatafutwa haraka wakuu, mwenye nacho afanye kuattach hapo chini.
Combatants: A Memoir of the Bush War and the Press in Uganda.
Mwandishi William Pike
Natanguliza shukrani
Wakuu Nilisikia Kuna Channel na Procedure za kufuata kama Mtu Huna Pesa ya Ada na Serikali Inaweza Kukusomesha.
Ila Sasa Sijapata Kujua Exactly Ninawezaje Kupata Nafasi hii. Hasa katika ngazi ya...
Habarini wote.
Samahani mimi nimemaliza kidato cha sita mwaka Jana 2022. Nikachaguliwa chuo cha udsm lakin kutokana na matatizo ckufanikiwa kwenda kusoma.
Nikaomba wanicancell ili niweze kuomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.