Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari kwenu Wana bodi, Mimi ni Kijana wa kitanzania pia mwanafunzi wa shahada ya kwanza ya ualimu sayansi moja ya Chuo Kikuu hapa Tanzania. Na malengo ya kuanzisha shirikisho la walimu wa...
1 Reactions
3 Replies
365 Views
Selection ya Kidato cha Tano na Vyuo mwaka huu naona imechelewa, ingetoka mapema wazazi tujipange.
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Naomba kuuliza jmn. Utaratibu wa jambo hili ukoje hasa ktk mda wa kukaa kazin. Mf kwa mwalimu mwenye kwaka mmoja kazini anaruhusiwa kubadilishana baada ya kuthibitishwa kazin?
1 Reactions
127 Replies
27K Views
Naomba msaada wa mawazo ndugu zangu wana JF. Mawazo yenu yana faida kubwa sana. Ni mara ya pili naandika uzi unaofanana na huu lakini mara ya kwanza niliambulia patupu. Sikupata mchango wenu...
1 Reactions
13 Replies
6K Views
Habari wa wakati huu JF members. Na imani mkoa powa sana, niende moja kwa moja kwenye jambo lililonifanya nipost kwma mara ya kwanza humu JF. Mimi siyo mwalimu na sijawahi kuwa mwalimu na ndoto...
6 Reactions
46 Replies
2K Views
Mwaka huu naona selection zimechelewa sana.tutajiandaa lini?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari, Kumekuwa na tabia ya kipuuzi kwa baadhi ya vionhozi wa taasisi za serikali kutangaza matukio fulani na kusema yako mtandaoni tayari na kutoa muda wa ukomo wake wakati siyo kweli kuwa yako...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za wakati huu vijana wenzangu, wakubwa zangu shikamoo. Naomba kujuzwa kama selection za kujiunga kidato cha tano kwa mwaka 2022/2023, zimeshatoka? Kwa yeyote mwenye taarifa naomba anijuze...
2 Reactions
12 Replies
4K Views
Baadhi ya wazazi wamemuomba Waziri wa Elimu kuingilia kati suala la wanafunzi kufukuzwa kiholela katika shule hiyo baada ya bodi ya shule chini ya shinikizo la Mkuu wa Shule hiyo anayefahamika kwa...
1 Reactions
7 Replies
882 Views
Nimeshangazwa sana mtu anasoma kwa kutumia masomo ya emglish kuanzia secondary hadi anamaliza chuo hajui english na akijua inakuwa ya kubabaika.Je tatizo ni mfumo,walimu au mwanafunzi. Najua...
1 Reactions
64 Replies
8K Views
Naomba kuuliza wataalamu hivi mwaka huu kikao cha bodi ya wahandishi(ERB) wanakaa lini kutoa approve ya kusajili graduate engineers?
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wakuu, Naomba Kuuliza kwa yeyote anayefahamu au mwenye mawasiliano na vyuo tajwa hapo juu. Maana kuna mtu nataka ni mfadhili kwenda kusoma moja ya chuo hicho kwenye fani ya Ordinary...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kama kichwa cha Uzi huu kinavoeleza hapo juuu. Vijana wengi wenye ndoto KUBWA za kimaisha kwa asilimia KUBWA wanatokea familia ambazo zina kipato cha Hali ya chini Ninze na mimi mwenyewe ndoto...
2 Reactions
2 Replies
641 Views
Habari Wana bodi. Niende kwenye mada moja Kwa Moja kumekuwa na matusi na kejeli za hapa na pale zikiendeshwa na mpwayungu village. Sasa nimekuja rasmi kupambana na huyu mtu ambae anachuki za wazi...
5 Reactions
13 Replies
777 Views
Wakuu habari za mchana
1 Reactions
3 Replies
457 Views
Kuna jamaa yako ana smartphone na hajui afanye nini? Una smartphone ambayo haikupi hela wakati unaiwekea bando? Kama jibu ni ndiyo basi sogea hapa ujifunze fursa muhimu ili utumie bando lako...
2 Reactions
10 Replies
505 Views
Naomba mnielekeze pia kama ina mahesabu mengi na ajira kama zinapatikana
0 Reactions
4 Replies
2K Views
salamu wakuu.. naomba kuuliza mtoto amefaulu kidato Cha nne kapata divishen 2 masomo ya sayansi yote kapata c kasolo bailoj kapata A ndoto zake anatamani kuwa eiza awe rubani au injinia akikosa...
0 Reactions
0 Replies
244 Views
Samahani jamani iv zile posti za shule na chuo kwa wanafunzi wa kidato cha nne zinatoka lini wapendwa naomba mnisaidie Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
1 Reactions
10 Replies
914 Views
Tunafundisha home tuition somo la hisabati (mathematics) kuanzia shule ya msingi mpaka form 4 kwa mitaala yote (Necta, Cambridge). Tunapatikana Dar es salaam. Mawasiliano 0755 339454/ 0657 903 125.
0 Reactions
0 Replies
417 Views
Back
Top Bottom