Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wasalaam wataalamu na wanazuoni wa masuala ya elimu. Naomba kujua Huyu Mwenye GPA 3.1 Kwa undergraduate. Post graduate 4.1, halafu Masters GPA 4.0 Je, MTU Huyu anazo sifa za kufundisha chuo...
2 Reactions
146 Replies
25K Views
Kumekuwa na threads mbalimbali za kulinganishwa vyuo hivi Dit na Coet eti kipi ni bora,sasa tulinganishe projects zao kati ya dit na coet tuone wapi wako vizuri,wanaosema coet watoe na ushahidi...
2 Reactions
80 Replies
14K Views
Kwa wale wote tuliopita Chuo kikuu Cha Dodoma kwa levels zote kuanzia Certificate, Diploma, degree, postgraduate diploma, masters Hadi PhD kutoka ndaki na Shule zote kama College of Humanity and...
7 Reactions
55 Replies
7K Views
Hii ni shule ya kata yetu mkoani Mara huko, shule haina muda mrefu tangu ianzishwe.. changamoto ni nyingi sana huko kijijini kwetu lakini ukiangalia matokeo ya hii shule in comparison na mashule...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakati Bunge likiipitisha bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ya mwaka 2023/24, wabunge wamebainisha changamoto lukuki zinazozorotesha ubora wa elimu nchini, ukiwamo utitiri wa kodi...
1 Reactions
3 Replies
882 Views
Lengo kuu: kubadilishana kituo Cha kazi Hello, Nipo mkoa wa shinyanga, halmashauri ya msalala na nahitaji kuja mkoa wa NJOMBE,MBEYA,SONGWE AU IRINGA Halmashauri yoyote ile katika hio mikoa Kama...
0 Reactions
1 Replies
454 Views
Kama title inavyosema hapo juu. Kama una swali lolote la PHYSICS, CHEMISTRY, MATHS AND CUMPUTER STUDIES. Uliza hapa...
3 Reactions
32 Replies
2K Views
Hii tume ya marekebisho ya mitaala ya elimu ukitazama mapendekezo yao ni wazi hawana uwezo wa kukwamua elimu ya Tanzania. ukitazama mapendekezo unaona kabisa ni watu ambao kwanza hawana taarifa...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Jamani naomba mnisaidie, Hivi muwa ni tunda? Kama Si tunda ni nini? Hilo jambo nimekuwa nikiwauliza watu mbalimbali bila kupata majibu ya kueleweka.
0 Reactions
40 Replies
18K Views
Kwa nilipofikia hivi Sasa mkurugenzi TUTUBA Kama nitafanya Jambo lolote lile la maamuzi magumu Basi wa kumuuliza Ni ANNA TUTUBA MKURUGENZI SAME..NA CABINET YAKE
1 Reactions
4 Replies
851 Views
Habari wana JF, natumai muwazima. Nina jambo limenitatiza naomba ufafanuzi. Swali ni kuwa, kwa mtu ambae A level alisomaga PCM na akafaulu vizuri,je inawezekana kama akihitaji kusomea medicine...
1 Reactions
4 Replies
834 Views
Udsm ni chuo kilichokuwa kimejipambanua miaka hiyo kama chuo bora kabisa katika ukanda huu wa maziwa makuu na afrika kwa ujumla kwa kuzalisha viongozi na wasomi mahili katika nyanja ya siasa...
28 Reactions
205 Replies
16K Views
Ndugu yangu alikuwa anasoma kozi stashahada ya Tabibu (Clinical Officer). Alikuwa mwaka wa tatu. Hakufaulu vipindi viwili. Kwa utaratibu mpya amepoteza sifa ya kuendelea na mafunzo. Sasa anataka...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Kwanza niwape pole wagonjwa waliopo humu,niwape pole mnaoguza na kuwapongeza wazima na pia polen kwa majukumu ya kila siku! Yote kwa Yote shukuran za pekee ni kwa Mungu[emoji120](japo humu JF kuna...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Nauliza jamani ukitaka kuomba intake ya october kwa UDSM (Master Degree) inatakiwa uombe mwezi wa ngapi? Ninaona kuna dirisha limefunguliwa saizi na mwisho wa kuomba ni mwishoni mwa mwezi huu...
1 Reactions
6 Replies
484 Views
Sasa ni kawaida. Kila siku watoto wanakuja wanadai hela eti kuna mtihani. Kila siku kuna mtihani. Enough is enough.
0 Reactions
37 Replies
2K Views
Habari, natafuta chuo kinachotoa course ya graphics design kwa ufasaha pasipo janjajanja kilichopo dar es salaam ivyo kama kuna anae fahamu chuo kipi kizuri tofauti na course zinazotolewa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba kujua ni vigezo gani vimetumika katika kuwachagulia wanafunzi watakaojiunga na Kidato cha tano 2017, maana napata maswali mbalimbali kutoka kwa watu na wanafunzi mbalimbali. Mfano kwa...
1 Reactions
46 Replies
22K Views
Nimekutana na hii post ya utaratibu mpya wa TAMISEMI katika kudahili wanafunzi wa sekondari ili kupata nafasi za kuendelea na masomo. Nimestaajabu sana eneo la madaraja ya kuwachagua wanafunzi...
5 Reactions
9 Replies
3K Views
Mimi nataka kusomea kozi ya electrical engineering lakini nimefuatilia vyuo Niweze kuapply kwenye website zao naona application zipo za miaka ya nyuma. Kwa yeyote anayejua muda au mambo ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom