Kuna mambo mengi sana yanasemwa kuhusu changamoto za walimu na taaluma yao, lakini kuna hili la Bango kwenye jengo la ghorofa Ilala hivi walimu mmeshindwa kabisa hata kukarabati hilo bango tuu la...
Naomba mwenye uzoefu au aliyesoma kozi ya sheria katika chuo kikuu huria,nataka kujua nasoma mnasoma unit ngapi kwa muhula wa kwanza na natakiwa kujichanga shilingi ngapi ili angalau niweze kuwa...
Hakika vijana WAPENDA starehe mmeamua kutufungulia mwaka na ZERO zenu.
Eg.Taifa Sec. School, Division ZERO 474 + 533 Division 4 (ambayo ni division ZERO iliyochangamka) = YUTONG 15 full...
Kwa utafiti usio rasmi wanafunzi wengi hasa vijijini wamekua wakilikimbia somo la fizikia hasa wanapoingia kidato cha tatu, lakini pia ufaulu wa somo hili huwa hafifu hasa kidato cha pili...
Suala la kumsaidia mtu au watu katika maisha ni jambo la kawaida kwa wanadamu, yaani ni kawaida kwa wanadamu kusaidiana.
Kuna baadhi ya watu tendo la kumsaidia mtu au kitu kwao ni kama tendo la...
Moja ya matukio yanayogusa vichwa vya habari duniani kote ni pamoja na kuwepo kwa nadharia ya mchakato mzima wa bara la Afrika kugawanyika kijiografia.
Inakadiriwa miaka milioni ijayo Bara la...
Kitabu cha tie book 4 page 183 , swali la 9, nalikopi kama lilivyo.
a Ladder lies along a vertical wall. If the ladder makes angles of 75.17 and 60.45 to the horizontal with 3m between the two...
Mfumo huu utakuwezesha kutengeneza ripoti za masomo kwa urahisi na pia unaweza kutengeneza ratiba ya shule bila kuteseka! Fungua kwa computer (excel file) halina macro na nisalama (free of virus)...
Kama mtanzania nimepitia na kuisoma kwa umakini kujua nini kimo maana elimu ndo Kila kitu katika taifa lolote maana ndo jiko la wataamu wenye chachu ya kuleta maendeleo ya nchi.
Nawapongeza Ila...
Ndugu wanajanvi wenzangu mwenzenu nina shida ya kutolipwa sitahiki zangu za likizo kwa kipindi cha miaka sita sasa tangu kupata ajira mwaka 2017. Kwa kipindi chote hicho nimejalibu kufuatilia...
HESLB:Kitengo cha mawasiliano hakijui wajibu wake. Wahitimu wa vyuo vikuu tangu mwaka 2009 ambao sheria iliwataka warejeshe pesa walizotuia kipindi wanasoma shahada zao ni wateja wenu!
LINALO...
Mkutano Mkuu wa Chama Cha Wanasaikolojia Tanzania (TAPA) utafanyika Ijumaa Juni 23, 2023.
Wale wote wanaopanga kuhudhuria wanatakiwa kujiandikisha kabla ya Tar 31 Mei 2023.
Jiandikishe...
Shule za msingi mwanafunzi anafundishwa kukariri tu. Mfano, Unaambiwa ukiona mwishoni "now" kwenye kitenzi unaongeza "ing".
Unaingia kwenye chumba cha mtihani unapewa swali huoni kigezo chochote...
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amesema Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya ambacho kipo chini ya Wizara hiyo kina fursa lukuki kwa taifa na kwa wahitimu wake...
Hello dear friends of mine.
Jamani poleni na hongereni kwa majukumu.
Najua humu kuna watu wenye profession tofauti tofauti, na academicians wengi, hivyo natumai nitapata kitu.
Ninaomba mwenye...
Katika chuo Cha ushirika Moshi Wanasoma course ya BICT wadau naomba mnisaidie kunifafanulia vizuri hii course na fursa zinazopatikana baada ya kusoma hii course (business Information and...
Nisomapo kazi ya Mtobwa mimi huguswa na jinsi mwandishi huyu alivyocheza na lugha. Naam, anaelezea tukio kwa lugha inayovutia.
Lengo langu ni mtu aliyeguswa na kazi fulani atupie kitabu huku au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.