Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari ndugu zangu! Leo naomba kuongelea kidogo ubovu wa elimu ya TANZANIA hasa elimu msingi na sekondari. Elimu yetu ya msingi na sekondari imekuwa na changamoto nyingi ambazo zimepelekea elimu...
1 Reactions
2 Replies
778 Views
Wana JF samahani naomba kujua namna ya kujiunga na open university na taratibu Huwa zipoje ikiwa Mimi ni mfanya kazi na mwajili wangu kagoma kunipa full time ili nikasome, na natamani kujiendeleza...
2 Reactions
71 Replies
19K Views
Je ungepata nafasi ya kumshauri kijana huyu wa kidato cha nne mwaka jana afate njia ipi kufikia malengo yake ikiwa anapenda masomo ya science na ufaulu wake ni Div 3 ya 23 {chemistry C, Biology C...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Naomba mliosoma kitabu cha Devil on the Cross naomba mnipatie utangulizi wa hiki kitabu au general overview ya hiki kitabu nahitaji kujifunza yaliyojili humo ndani ya kitabu.
0 Reactions
6 Replies
691 Views
Jamani naombeni mnisaidie kuvitambua vyuo vya Serikali vinavyotoa Diploma ya Mionzi, Maana nmetafuta kwa guidbook sijafanikiwa kuona. Nakutana tu na Physiotherapy kwa ninavyojua ni vitu viwili...
2 Reactions
132 Replies
17K Views
Wakuu mambo vipi? Naomba ushauri wenu kuhusu jambo lifuatalo:- Mimi ni muhitimu wa chuo kikuu (Bachelor of Environmental Disaster Management - UDOM) nilikua naitaji kwenda kusoma Master...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani chuo kinachotoa Bachelor science in statistics ni UDOM kwasababu kinafundisha hadi software.....because mimi ni mojawapo niliyemaliza pale now najivunia
4 Reactions
54 Replies
3K Views
Kwahiyo NBAA wanataka Wawe kama law school au mitihani imekuwa migumu kwangu tu🥲
0 Reactions
4 Replies
458 Views
Msaada mafundi wa geography. What are the population characteristic of 2012 census
0 Reactions
7 Replies
667 Views
Jipatie templates bure kabisa kwa shule za O level na A level. Upate -summary za matokeo iliyowekwa kitaalamu kabisa -ripoti kwa wanafunzi wote, unapata ripoti hadi 600 kwa darasa moja Na ratiba...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Habarini za kazi wakuu wangu, Naombeni kuuliza kwa anaefahamu chuo cha ngazi ya Kati (Astshahada na stashahada) wanaotoa certificate ya PUBLIC HEALTH Napa nchini
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habar zenu brothers and sisters Mahtaji msaada wenu, ninataka ku-apply Makerere University, Faculty of Science kwa mwaka wa masomo 2023/2024, nashkuru nina vigezo vyote, akn application window...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Naombeni mnitajie list ya vyuo vinavyofundisha software engineering kwa hapa Tanzania na pia naombeni ushauri kuhusu hii programme.
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Naombeni majibu ya haya maswali apa 1. Techniques for right time procurement. 2. Explain the meaning of adversarial and collaborative relationships in Procurement.
0 Reactions
2 Replies
716 Views
Wadau naomba kuuliza. Unaweza kujisajili PC ya five na six kwa mwaka mmoja na wakati huo huo umejisajili kutafuta credit ya physics? Olevel?
0 Reactions
1 Replies
651 Views
Habarini ndugu, Namshukuru Mungu niliomba chuo kipo England (Norwich city) kinaitwa University of East Anglia (UEA) course niliyo kubaliwa Masters of science in Economics and Data science kwa...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wadau, Kumekuwa na sintofahamu kuhusu hizi saili zinazoendelea mbeya university of science and technology kada ya T.A. Kupitia utumishi kawaida huwa wanatoa namba ya mtihani kabla ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
[emoji834][emoji834][emoji834][emoji834][emoji834][emoji834][emoji834][emoji834][emoji834][emoji834][emoji834][emoji834][emoji834][emoji834][emoji834] Kwa kuchapisha muhtasari wa kitabu hiki sura...
2 Reactions
5 Replies
851 Views
Mifumo ya matokeo kwa shule za msingi na sekodari upo na unapewa mfumo wa trials ukiupenda tunakutumia mfumo kamili! Usiteseke kuandika ripoti kwa mikono kwenhe zama hizi za TEHAMA mifumo yetu...
0 Reactions
3 Replies
754 Views
Study MBA Online program at India Top University Recognised by TCU Duration: 2 Years Registration fee $500 ( One time Tuition fee per Year 750 USD For more : Call: 0678650509 Email...
1 Reactions
1 Replies
569 Views
Back
Top Bottom