Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Niwaombe Walimu wa Sunday School na Madrasa mjitahidi kuwafundisha watoto wadogo Maadili mema ya maisha Dunia inapitia kipindi kigumu sana.
1 Reactions
10 Replies
752 Views
Nawaomba uongozi wa Mzumbe University mfikirie upya hizi degree za masters mnazozitoa huko mitaani/Centres za mikoani. Mnaua ubora wa elimu nchini. Si jambo jema academically, mtu wa Advanced...
10 Reactions
321 Replies
53K Views
Rejea kichwa Cha habari hapo juu. Mimi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa kwanza(degree) nasoma bachelor of science in chemistry. Nahitaji msaada wa maeneo ya kufanyia field nikifiki mwaka wa pili...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wana JF vipi hali, nasikia course ya AMO wataaanza kuitoa mwaka huu kwenye vyuo kama KCMC, Rufaa Mbeya na Bombo Tanga. Hivi vigezo vyao huwaga ni vipi kwa anaejua, na ada kwa mwaka hua ni kiasi gani?
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwanafunzi anaye maliza chuo kikuu anatakiwa awe na GPA ya ania/kiwango gani na kwann na nn faida zake na hasara?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu naombeni usaidizi hapa, hii karatasi nimeambiwa nipeleke Baraza za mitihani Tanzania Kuna ndugu yangu anasoma Kenya ila ni mtanzania hivyo hawezi kufanya mtihani wa form 4 kule Kenya hadi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Waziri wa Elimu mhe. Adolf Nkenda amesimamia maamuzi ya Baraza la Mitihani la Taifa kuhusu uamuzi wa kufuta matokeo ya baadhi ya wanafunzi ambao wamegundulika kufanya wizi wa mitihani yao ya...
0 Reactions
6 Replies
461 Views
Wadau sina mengi ila naomba kujuzwa shule ya kidato cha tano inayo fundisha mchezo wa mpira wa miguu
0 Reactions
7 Replies
759 Views
Habari wana JF, Karibuni nataraji kujiunga na diploma ya computer science,nimelazimika kusoma diploma kutokana na majukumu yangu kwa sasa japokuwa form four nilifaulu vizuri tu namshukuru mola...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu, Ninahitaji kujua jinsi ya kujiandikisha ku re-sit mtihani wa kidato cha sita. Na ipi inaweza kuwa rahisi kati ya kurudia mtihani ama kusoma kozi ya diploma na kuendelea zaidi mbele...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Wana JF naombeni mnasaidie kuhusu kozi ya architecture inahusu nini? Na ukisoma kozi hiyo unaweza kufanya kazi sehem gani?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari ndugu wana JF. Weekend iliyopita nilibahatika kuwepo huko Mkuranga - Pwani. Nikikutana na nyumba ndogo yangu ambayo ni mwalimu huko Halmashauri ya Mkuranga. Kitu kilichonistaajabisha mpaka...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu naombeni ushauri Nina mdogo wangu amepatq hizi marks form 4... division 4 ya 29, civics f, history d, geography d, kiswahili c, English d, chemistry f, biology d, math...
3 Reactions
13 Replies
677 Views
Ndugu wajumbe wa jamvi hili: Najaribu ku-complie manual ya "solved problems" za calculus. Mojawapo ya maswali yatakayokuwemo kwenye manual hiyo ni pamoja na haya ambayo yamekuwa attached hapa...
2 Reactions
22 Replies
4K Views
Wakuu nipo nafanya application ya masters ila naona wanataka ni attach matokeo ya IELTS. Naomba muongozo kama test iyo inaweza fanyika online na gharama zake n sh ngp
0 Reactions
5 Replies
624 Views
wakuu naomba msaada kwa wanaofaham...hivi endapo mwanafunzi wa chuo asipo fanya field ni hatua gani atachukuliwa?????????
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Salaam wakuu, Naombeni mwenye kujua formula inayotumiwa na TCU ya ku calculate GPA (kufanya equivalency) kwa mtu aliyesoma nje tafadhali. Mfano mtu aliyesoma nchi kama Brazil ambapo hawatumii...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
It serious unafikiri mimi ningemshauri ninj? Zaidi ya kumwambia kwamba akasomee ulozi na uchawi Afrika magharibi kwa sababu kwa alichofaulu ni kiwango kizuri kwa hiyo fani na ama kwa hakika vodoo...
1 Reactions
2 Replies
492 Views
Back to those years, huenda vijana wa Leo hamuelewi hili. Iko ivi Enzi hizo Matokeo ya Mtihani yakitoka yalikuwa na majina pamoja na candidate numbers, Ebana ee Kulitokea la kutokea binti wa...
54 Reactions
184 Replies
14K Views
Back
Top Bottom