Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Heshima kwenu wakuu, Kuna ndugu yangu ana shule ya msingi ikiwa bado mpya kabisa,hivyo ameambiwa awe na katiba ya shule kama moja ya vigezo ili aweze kupata usajili. Naomba kujua/kupata sample...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Matokeo ya kidato cha nne yametoka ni zaidi ya wiki, lakini kwa wanafunzi zaidi ya 40 wa shule ya NUR ISLAMIC SEMINARY bado matokeo yao hayajafunguliwa wameekewa alama E. Necta wanasema watoto...
1 Reactions
1 Replies
413 Views
Kwa uchunguzi wangu mdogo, vijana wengi waliosoma English medium schools ni wavivu na hawawezi kufanya kazi ipasavyo ukilinganisha na waliosoma Shule za serikali.
3 Reactions
10 Replies
683 Views
Je inawezekana mtaalam akatengeneza masterplan bila kufika site? Kama inawezekana anatakiwa apatiwe taarifa zipi? Asanteni mno.
0 Reactions
0 Replies
240 Views
Habari ya wakati huu ndugu wana JF, Mimi kama ilivyo wazazi wengine wanaowajibika kwa watoto wao hasa zaidi kahusu mustkabadhi wa maisha yao ya kesho; nimefkiri kwa kina juu ya elimu tunayopewa...
0 Reactions
3 Replies
405 Views
Nataka Mdogo wangu akasome hapo Muhas Kuanzia certificate naomba kufahamu utaratibu mzima yupna division 1.15
0 Reactions
12 Replies
971 Views
Tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu, Naomba kufahamu kituo/Vituo vya kurudia mtihani wa form four, hapa MWANZA CC
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwenye soft copy ya kitabu cha Tie literature in English naomba.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Poleni na mihangahiko wakuu, kuna kaswali hapa naombeni msaada wenu. "Group, partnership and relation supplies and compititors support in identifying marketing opportunity discuss"
0 Reactions
1 Replies
272 Views
Naomba kuuliza kuwa hawa wanafunzi wataenda kidato cha tano au ndo wata jiunga na chuo moja kwa moja kusoma diploma?? Naomba msaada wenu tafadhali
2 Reactions
64 Replies
20K Views
Kuna pahala hatuko sawa. Kwanini katika elimu ya vijana wetu Sekondari Somo la Kingereza ni lazima lakini somo la Kilimo na Biashara ni uchaguzi? Nawaza kwamba Kilimo na Biashara yawe lazima...
1 Reactions
3 Replies
514 Views
Samahani Waungwana nahitaji maelekezo. Nina Certificate of journalism ila nataka kwenda kuchukua Diploma ya Banking and Finance Pale IFM je inawezekana? Form Results Geo-C English-B Bios-B...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habar...Nilikua naomba mawasiliano ya mtu yoyote aliyesoma au anayesoma (MD) katika chuo chochote cha afya (Uganda) ilikupata a,b,c
0 Reactions
0 Replies
778 Views
Washkaji wote waliosoma Tambaza enzi zileeee big up sana Mnamkumbuka nyau, Mwl. Mushi, LIle sooo la Kuwatwanga Jitegemee sec, Kakonda kalidanji mitaa ya Keko, Mnakumbuka ile mikanda uliyokua...
4 Reactions
52 Replies
12K Views
Wanafunzi wamekuwa wakimlalamikia juu ya ufundishaji wake wa somo la TEHAMA kuwa ni msumbufu. Nikiongea na mwanafunzi ambae alikataa kutaja jina lake na level (Mwaka wa masomo) alisema Mwakalonge...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Watahiniwa 93,136 (98.97%) wamefaulu Mitihani yao, ikielezwa Wasichana ni 40,907 na Wavulana ni 52,229. Aidha, Baraza la Mitihani (NECTA) limesema jumla ya Watahiniwa 83,877 (99.24%) wamefaulu...
2 Reactions
31 Replies
5K Views
Wakuu hii system ni ya muda sana hapa Tanzania. Anatajwa kijana ambae ameongoza Tanzania nzima kidato cha nne au kidato cha sita wanapelekwa bungeni na zawadi kibao wanapewa lakini hadi leo hii...
0 Reactions
513 Replies
140K Views
Naombeni msaada tafadhali. Je nitapata seminari ya kiislamu inayo FANYA vizuri ambayo huyu mtoto ataenda kusoma bila kulazimika kuwa muislamu? Mfano kutakiwa kuswali, kujifunza koroani etc...
2 Reactions
30 Replies
2K Views
Salaam wakuu. Huyu ni mtoto wa kike, amehitimu kidato cha nne. Naomba ushauri asome course gani au fani gani inayoendana na ufaulu wake na ambayo hatokwama kupata kazi baada ya kuhitimu...
3 Reactions
53 Replies
4K Views
Hi wakuu Kuna pesa nimekatwa kimakosa na HESLB. Mimi sikusoma kwa mkopo. Je nafanyaje ili nirudishiwe hizo pesa.
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom