Mara nyingi nimekua nikiandika hili suala humu kuwa elimu ibadilishwe kwan haifai kabisa. Mwaka huu hawajatangaza shule Bora Wala mwanafunzi Bora.
Wachambuzi wa ITV wengi wametoa mawazo mazuri...
Wakuu mdogo wangu kapata div 4 ya 33.
Ana ufaulu huu hapa kisw C, hist,F civ F, geo F, bio F, eng F, math F, Nishaurini anafaa kusomea nini au ni sehemu gani itakayomfaa maana hapa natafakari na...
Walimu hawana utu wala huruma, sasa wameamua liwalo na liwe. Piga, uwa, garagaza.
Hawajali tena namna ya upigaji, mtoto wa kike apigwe mkononi, wa kiume matakoni. Walimu wanapiga ngumi wanafunzi...
Wakuu. Naomba ufafanuzi nataka nikasome IT Ila Kama tunavyojua IT Ina vipati bingo mfano (Security, networking, system Administrator, code).. binafsii nataka nakasome kitu kimoja ili nikijue...
Ili kuboresha elimu yetu, ni wakati sasa Serikali kupima uelewa wa walimu inao ajiri.
Shule binafsi haiwezi pokea Mwalimu bila usaili na kumuona kama atawafaa au la.
Serikali kama inafanya...
Msaada kwa yeyote anayeelewa kuhusu logistics as a field nina mdogo angu anaenda kuchukua Logistics and transport management alikuwa anahitaji msaada na uelewa kuhusu hii course especially kwenye...
Hello walimwengu.
Nimesitika sana na kauli yenye ufinyu wa fikra na mizania mbovu sana, dhana yao ya utofauti wa mazingira ya kusomea ya wanafunzi na mashule mbalimbali mbona haijatumika kutunga...
Wamefanya vizuri sana kwenye matokeo ya kidato cha nne. Swali langu ni je wanawapokea watoto wa kikristo? Na kama Wana wapokea je Wana sharti la watoto lazima kuswali msikitini? Au kama ni Mkristo...
Utaratibu mzima wa mipango ya elimu na utekelezaji wake kwa kiasi kikubwa unatia mashaka sana. Kwa muda mfupi nimeweza kuona mambo yafuatayo ambayo hayaridhishi na hayawezi kusukuma utekelezaji...
CIV - D
GEO- D
ENG- D
KISW- C
CHEM-D
BIO- D
Kama mnavyoona wakuu hayo matokeo ndo all the hardwork dogo ka score hapo
Mwenyewe anataka aende chuo kusomea afya aanze na certificate
Naomba...
Salaam wakuu,
Nimepata shida kwa watoto wangu wawili kubadilishiwa majina.Wa kwanza alifanya mtihani wa darasa la nne mwaka 2020 na mwingine 2022.Nilipata kufahamu tatizo Hilo baada ya matokeo ya...
Kama mnavyoona wakuu hayo matokeo ya dogo hapa mtaani kwetu kaniomba ushauri akasomee kitu gani ambacho kitamsaidia kwa mbeleni hasa kwenye suala la ajira.
Mwenyewe anataka aende chuo kusomea...
unapozungumzia mafanikio ya elimu nchini tanzania hutaacha kukitaja chuo kikuu cha dar es salaam (udsm), miaka kadhaa iliyopita chuo hiki kilikuwa miongoni mwa vyuo 15 bora katika bara la africa...
Mimi ni Mwl grade A,
Ndoto yangu ni kupata elimu nje ya Tanzania mfano Kenya, Rwanda ama Sudani; Je, elimu za wenzetu zipoje, na wanazingatia nini, vigezo vya kujiunga vipoje hasa elimu ya uongozi?
Kutotangaza shule na wanafunzi bora ni hatua mojawapo sahihi ya kurekebisha mfumo wa elimu wa nchi hii ambao umekuwa ukitoa kipaumbele kwa mitihani zaidi kuliko ujuzi. Pia ni njia mojawapo...
Shule za serikali kweli zinapata zero nyingi kuliko shule za Private
Lakini tukumbuke shule za Serikali zingejiendesha kama za private(mfano wa shule za gvt zinazojiendesha ki private Ilboru...
Kumekuwa na tabia ukienda kujiandikisha kupata cheti cha kuzaliwa unapewa mlolongo mrefu usio na maana yeyote, mfano unaambiwa ulete kadi yako ya kliniki, uje na mzazi, vyeti vya ubatizo n.k pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.