Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Majina ya waliopata Samia Scholarship yametoka tayari mwenye link atuwekee
1 Reactions
6 Replies
2K Views
SAMIA SCHOLARSHIP Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeanzisha program ya ufadhili iitwayo SAMIA SCHOLARSHIP kwa masomo ya shahada ya kwanza kwa wanafunzi waliopata ufaulu wa juu katika...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Ni first year semester ya mwisho, ana GPA ya 1.6 hivyo kadisco. Lakini anataka kuendelea na masomo na kuendelea kupata mkopo kama awali. Je afanyeje? Miongozo inatakaje?
1 Reactions
108 Replies
6K Views
Wajuzi msaada, inawezekana kwa mwalimu tuseme kaajiriwa na masomo ya IT na mathematics akajiendeleza Masters in Computer Science au IT, anaweza kuomba kuhamishiwa idara ya IT akakubaliwa? Msaada...
2 Reactions
42 Replies
2K Views
Habarini zenu wataalam Nisikuchosheni nakuja kwenu nikiwa na suala nililoliainisha hapo juu, Mimi ni msimamizi WA mtihani WA kidato cha NNE SHULE X nimepata changamoto yangu ni kuwa , Katika...
0 Reactions
6 Replies
638 Views
Dogo kasema amechaguliwa kusoma hyo kozi sasa naitaj maelezo ya kutosha..
0 Reactions
25 Replies
1K Views
Katika uzi huu tunataka kuzifahamu kozi ambazo hazitoi ajira kwenye taasisi binafsi na serikalini. Hivyo kama una orodha yako uwanja ni wako sasa tutajie kozi hizo. NOTE: Tunaomba mtuandikie...
4 Reactions
206 Replies
19K Views
Habari wakuu kwa wanafunzi wa continuous naona kumekua na tofauti kwnye pesa ya meal and accomodations kat ya chuo na chuo mfano wanafunzi wa udsm imepungua kutoka 524k mpaka 510k sasa hii imekaaje?
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Wapwa naombeni msaada. . Dirisha la kukata rufaa limefunguliwa RASMI HELSB tar 13/11/2022 .Nimepata mkopo ila sijaridhishwa na kiasi cha mkopo nilipata . Je naweza kukata rufaa?
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Waku Habarini Mwenye kujua chuo kizuri na chenye unafuu kwenye Ada, naomba anisaidie. Nataka kufanya Project Management, Course, ie, PMP, PrinceII
0 Reactions
10 Replies
1K Views
To what extent does Barlow's ''BUILDING THE NATION'' Reflect the ''Mimetic theory''?
0 Reactions
6 Replies
588 Views
VIJANA WA TANZANIA KUANZISHA JUKWAA LAO HURU, NDIYO JIBU LA KUPATA NAFASI YA KUSHIRIKISHWA KTK NGAZI YA MAAMUZI KITAIFA Duniani ni vijana wa vyuo vikuu ndiyo wanaoongoza kuchagiza mageuzi...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa pili Chuo Cha Mipango Dodoma nina nia ya dhati ya kutaka kuanzisha na baadae kuwa na JUKWAA kubwa la TAFITI Tanzania hivyo naomba mnishauri mwenzenu nifanyaje au...
0 Reactions
6 Replies
442 Views
Naomba kama kuna mtu ana Idea anisaidie. Mimi ni mdau wa elimu, uwa nikitazama hivi vituo vya kusomea mtaani yani tuition centres naviona kama fursa fulani ambayo hatuitumii vizuri. Kama ambavyo...
1 Reactions
3 Replies
380 Views
Nimefurahi kuiona thread ya wadau wa Ilboru napenda na siye wa Umbwe tujikumbushe japo kidogo baadhi ya misamiati tuliyokuwa twaitumia pale 'Mti safi'..Baadhi ya misamiati ni kama...
0 Reactions
88 Replies
18K Views
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo cha Mipango Dodoma main campus nasoma mwaka wa tatu degree ni mnufaika wa Bodi ya Mikopo, tangu mwaka wa kwanza nimekumbana na changamoto ya kutowekewa allocation na sio...
5 Reactions
79 Replies
5K Views
Habari zenu wanachama? Nina imani yakuwa mpo salama Iko wazi na wengi tumewahi kuona jinsi ambavyo buibui anajitengenezea wavu(makazi) yake bila shida kabisa. Sasa nikifikilia zile nyuzi...
2 Reactions
5 Replies
543 Views
Poleni na majukumu wakuu Mimi nina na changamoto inanitatiza sana, ninasomea maswala ya information science, natamani sana kujua kuhusu database administration, ila pa kuanzia sijui na sijui...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hello habar wadau, naomba kujua ni shule zipi za olevel zenye boarding iwe ya Boys au mchanganyiko hususan Kwa mikoa ya Dodoma na morogoro. Natanguliza shukran za dhati
0 Reactions
1 Replies
479 Views
Naombeni jamani ushauri kati ya hizo kozi Clinical dentistry (utabibu meno) na Clinical medicine (utabibu) nichague nisome nini kwa kuangalia upatikanaji ajira nchini sasa hv naomben ushauri wenu
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom