Jamani nimerudi tena itabidi munizoee tu . Eti ukikata rufaa bodi ya mikopo kama umepata kidogo . Ule wa mwanzo wanaweza kuuchukua na unaweza kukosa kabisa. Au wanakuachia?.
Ebhana eeh nimekaa hapaaa kitaaa nimepata msaada wa kupelekwa shule nikasome short course ya Tour guide japo hiko chuo kinatoa piaaaa issue za hotel management na mambo mengine nilichokipendea...
Ebhana eeh nimekaa hapaaa kitaaa nimepata msaada wa kupelekwa shule nikasome short course ya Tour guide japo hiko chuo kinatoa piaaaa issue za hotel management na mambo mengine nilichokipendea...
Habari humu, mdogo ameshachaguliwa kujiunga C.O pale TTCIH morogoro, ila anataka aache ili akasome short course ya miezi mi3 flight operation pale TCAA uwanja wa taifa.
Kwa wanaoifahamu hii...
Serikali imegoma kushusha gharama za bando za simu,lakini pia imeshindwa kukemea wizi wa kampuni hizo za simu dhidi ya wananchi.
Imekuwa upande wa wawekezaji na kunyonga raia wake.
Kama una...
Ndugu zangu, nimepata mawazo ya kufungua shule ya chekechea maeneo ya kiluvya, tuna eneo mimi na mkwe wangu la heka tisa. Tunataka kuanza na chekechea, baadaye tuongeze hadi primary baada ya...
Sijui labda mimi ndio sielewi!
Serikali ndiye mwajiri mkuu wa walimu, na serikali haitoi ajira (ukiacha zile za kisiasa zilizo tangazwa juzi)
Bado najiuliza,
Umesoma arts na unakaa kwenye PC...
BAADHI ya shule katika Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe zimegeuka viwanda vya kutengeneza daraja sifuri katika matokeo ya kidato cha nne kila mwaka. MTANZANIA Jumapili ilishuhudia Shule ya...
Wanafunzi wengi wanapoa apply chuo jambo la kwanza wanaanza kuuliza kozi hii nitapata mkopo asilimia mia? Na wengine wanaomba mkopo kwa sababu ni utaratibu walio ukuta na sio kwa sababu wana...
Habari za muda huu ndugu zangu watanzania. kutokana na changamoto zinazoletwa na uwezo mdogo wa bodi ya mikopo kwa elimu ya juu, napenda kufahamu ni taasisi ipi inayoweza kutoa mkopo au ufadhili...
HABARI,
Hivi wanajamvi kuna umuhimu gani kusoma kozi ya risk management and insurance? Na kama upo vipi Ajira zake maana -kujiari via iyo kozi ni kipngele sana.
Mwenye -positive idea please...
Yaani mtu uliesoma mpaka A level haya masomo ya biashara yasitaka hesabu au social science ukafunzwa jinsi ya kufanya research mtu mwenye Phd ya hizo fields anakutisha kweli.
Kiwango cha elimu ya...
Habari Wadau
Kwa wale wenye uelewa au ambao washawahi kusoma distance learning nahitaji kupata maelezo kidogo kuhusu hichi chuo cha University of People cha America na pengine yupo ambae ashawahi...
Hivi kweli kwa jinsi tekinolojia ilivyo na mpaka sasa Tanzania tuko 5G bado usajili vyuoni unafanyika kwa kujaza fomu, ujaze fomu zaidi ya 2, uanze kuzunguka kuthibitisha vyeti n.k, kweli...
Jamani hawa watu wanacheza na akili zetu watuambie kama mkopo hatupati au laah. Ukifungua account Yako unakuta umeandikiwa tarehe 8 kweli serious hii kitu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.