TAREHE ZA MITIHANI
Form two wanaanza tarehe 30/10/2022 Hadi 8/11/2022.
Form four wanaanza tarehe 14/11/2022 Hadi 23/11/2022
DARASA LA SABA
5/10/2022 NA 6/10/2022
DARASA LA NNE
26/10/2022 na...
Iviii wakuuu km mtu umechaguliwa chuo cha CBE unaweza kupanga au kuishiii maeneo ganiii mazuriii kwa maana ya usalama na urahisi wa kufika chuoniii .....msaada plz
Vijana wamechaguliwa tena UDOM kusoma hizi course
Bachelor of Arts in English,
Bachelor of Arts History,
Bachelor of Arts Kiswahili😭😭😭
Ni huzuni kwa kweli.
Kuna hizi za sayansi pia
Bachelor of...
Habari wakuu,naombeni msaada wenu kwenye hili,niliwahi kuomba chuo mara tatu tofauti na zote nilifanikiwa kupata ila kwa sababu za kiuchumi na kiafya sikufanikiwa kusoma kwa kipindi hiko.
Mwaka...
Ndugu wanajukwaa samahani, naomba msaada wa kuvijua vyuo vya ualimu ngazi ya cheti vya serikali vinavyopatikana jijini Dar es salaam na location vinapopatikana.
Natanguliza asante zangu kwenu.
Dirisha la tatu na mwisho kwa mwaka huu la kutuma maombi ya shahada ya kwanza ndiyo limefungwa jana.
Tunaomba NACTE watuangalie kwa jicho la huruma wengine, tunaomba watuongezee japo siku tano au...
Karibuni shule za mkoa wa kilimanjaro kwa ujumla mwaka 2023
Zipo shule za serekali zenye hostel ada 500,000-650,000 per year mfano
Kifaru sec
Lyakrim sec
Makom sec
Mkuu sec
Komakya sec
Namwai sec...
How to Craft a Winning Paper for Your Dissertation
Before we get to the question, what makes a paper to be a superb document? It is quite common knowledge that a dissertation is a lengthy academic...
Ni matumaini yangu wote wazima humu ndani. Nimesoma diploma ya procurement and logistic management ila baada ya kuingia bachelor degree nikabadilisha course na kusoma business management, naenda...
1: Sayari ya Jupiter ni sayari kubwa kuliko zote kwenye mfumo wa jua.Kwa makadirio ina upana kwa kilomita 142,000 kutoka kwenye Equator yake.Sayari ya jupiter ni kubwa kiasi ambacho unaweza...
Naomba kujua yani Mimi nikikaa kidogo tu mautando kwenye macho mda wote nijitoe ni hali ya mda mrefu sana inanichosha kujipikicha macho mda wote nitakuwa na shida ya macho au? Hii picha hapa chini...
Nimekuwa nafikiria saaana mpaka leo sijapata majibu muafaka! Pamoja na kusomea ualimu bado sijapata majawabu!
Kwa nini elimu yetu ya msingi iwe ya miaka 7?
Ninavyojua na uzoefu unavyoonesha...
Samahan wakubwa naomba msaada wenu nime maliza kidato cha sita, ni ipi kati ya course hizi itanifaa na ninzuri? Naomba na ufafanuzi kidogo kuhusu course
1-Bachelor of Science in Applied Biology...
Katika kufanya utafiti wangu wa kimchongo leo nimeona niongee huu upuzi niliohuona huku ni takribani mwa wa tatu sasa najaribu kuomba nafasi ya kusoma vyuo vya kati vya kilimo vinavyomilikiwa na...
Ni kweli janabi ametoa mchango mkubwa kwa nchi.. Ni njema kukafahamishana na kuweka record sawa. Kuna mtu yoyote anajua Professorial ya Prof Mohamed Janab. Nimejaribu kutafuta machapisho yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.