Salaam Wadau,
Nimejiuliza tu. Kuna wanafunzi wengi wananufaika na mikopo inayotolewa na Serikali anbao wapo vyuo vikuu. Hili ni jambo jema sana. Lakini, mfumo wa sasa, ambao wanufaika wanasoma...
Kwa mfano ukiwa diploma ya kozi fulani, je unaweza kujiunga na degree nyengine yoyote? Ama kuna vigezo vinaangaliwa kwa kozi ambazo are the same family?
Na je Diploma za kozi zipi ukisoma unakuwa...
Husika na mada tajwa hapo juu, naomba msaada kwa yeyote ambaye yupo au alikuwepo Makerere University, nafanya applications hapa, malipo inakuaje (applications fee), nipo Mwanza, Tz.
Hii kozi wahitimu wake wengi naona wanaishia kufanya kazi za sales kwenye makampuni ya kichina na kulipwa ujira kidogo sana.
Hivi IFM waliianzisha kwa madhumuni gani haswa?
NI MUDA MUAFAKA SASA SERIKALI IHAKIKISHE KILA SHULE INAKUWA NA KISIMA CHAKE.
Wakuu habari!
Nikiwa kama mdau mmojawapo wa masuala ya kielimu, nalazimika kuleta mawazo yangu hapa jukwaani ili...
Ni shida ya vijana wengi wa Taifa langu pendwa la [emoji1241] kwani watu tunasoma hadi elimu ya juu lakin bahati mbaya hatujui tunaenda soma nini baada ya kuhitimu sana sana kwa masomo mageni kama...
Math Quiz
Here is a brain teaser: Quantitative Reasoning.
A house wife forgot her bank 'ATM PIN' which is a four digit number, but luckily she remembered some hints on how to recall this 'PIN'...
Nina mdogo wangu ana degree ya Ualimu na ni mwajiriwa Tanga. Kwa sasa anataka kwenda kusoma diploma ya quality assuarer au physical education.
Je, kipi Bora na chenye tija Kati ya hiv vitu viwili?
Yani ndugu zangu mimi ni mmoja wa waathirika wa uhujumu na ukosefu wa uadilifu na ubora wa elimu katika chuo cha udaktari kilicho anzishwa na UDSM wote tutakubaliana kwamba, kwa udaktari unatolewa...
Ni shida ya vijana wengi wa Taifa langu pendwa la [emoji1241] kwani watu tunasoma hadi elimu ya juu lakin bahati mbaya hatujui tunaenda soma nini baada ya kuhitimu sana sana kwa masomo mageni kama...
Jamani nilikuwa nauliza mfano nikiwa mwanafunzi wa diploma nikataka kuapply tena chuo kingine ni mpaka nifute usajili na je kama mpaka kufuta usajili nafutaje usajili wangu chuoni
Jamani napenda kuuliza hivi majibu ya maombi kwa waliomba awamu ya pili ambayo tangazo lilisema yataanza kutoka kuanzia tarehe 20/6/2022, tiari kwenye account za wengine maana yangu kila...
Ana IV ya 26. Alikua anasoma Art, masomo saba. Katika hayo masomo ana C tatu ya English, Kiswahili na Biology. Masomo mengine ana D zote na Maths ana F.
Je huyu anaweza soma advance kwa shule za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.