Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Salam Wakuu.. Naombeni ushauri kuhusu hizo course mbili tajwa hapo juu ikiwa ni pamoja na requirments, vyuo hapa tz vinavyotoa, competition kuzipata, na soko la ajira.. Natanguliza shukrani zangu...
0 Reactions
63 Replies
22K Views
Habari zenu bango linajieleza tena hasa walimu msingi wapelekwe vyuoni kujiendeleza Kwa nguvu[emoji35]
0 Reactions
3 Replies
667 Views
Nyie malecture badilikeni, mnakua na vipindi asbui alafu mnasema mna emergency mnavisogeza mpaka jion... Hamjui mnafundisha watu wazima, wanashindwa kututimizia mahitaji yetu kwa sababu ya...
0 Reactions
33 Replies
2K Views
Habari wakuu. Natumai wote ni wazima. Moja kwa moja niende kwenye hitaji. Nahitaji kujua juu ya kozi hii ya mechanical engineering lakini juu ya swala la kujiajiri ki binafsi mtu anaweza vipi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba kupatiwa uzoefu kwa wale waliowahi kudisco Chuo kikuu cha Dar Es Salaam, hasa kwa wale kwenye cases tofauti ya kushindwa kufikisha GPA. Mimi sijafanya mtihani wa Semester one, Kwa kukosa...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Nina mdogo wangu amemaliza elimu ya kidato cha sita mwaka huu. Anasubiri kuomba nafasi kusoma chuo. Amemaliza PGM wakuu naombeni mawazo yenu asome kozi gani. Yeye anapenda mambo ya anga. Nmepitia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Salaaam. Wajumbe naomba ushauri kwa mwenye kujua kitabu ninachoweza kumpa mtoto wa shule ya msingi ili asome apate kuwa na maarifa makubwa ya kidunia (Ujasiriamali, au critical thinking)
0 Reactions
0 Replies
721 Views
Chuo cha DIT inabidi wajitathimini kwa changamoto wanazokumbana nazo wanafunzi wao hususani katika mambo ya IT. System yao ya matokeo ya wanafuzi haipo stable kabisa, yaani unaweza ukakuta matokeo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Mwaka jana nilileta shida yangu hapa watu wanishauri kuhusu mimi kurudia mitihani yangu ya kidato cha nne.. Watu walinishauri vizuri sana, licha ya kuwa na kazi lakini...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Wakuu heshima kwenu! Nahitaji msaada nikikumbuka enzi zile za hadith machozi yanataka kutoka sis tulio weza kusoma hadith mbalimbali leo hii katika ulimwengu wa sasa hatuoni watunzi mahili kama...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Miaka ya hivi karibuni, kumeibuka mitihani ya sets kwa madarasa ya mitihani. Mitihani hii inaonekana kuwa ndo suluhu ya kufelisha watoto kwenye mitihani ya kitaifa, walianza taasisi binafsi na...
8 Reactions
22 Replies
1K Views
Kwa Dunia ya sasa hasa hapa kwetu (Tanzania), ni courses zipi ambazo Mtu akisoma zinamuweka katika nafasi nzuri ya kuajiriwa au kujiajiri. Ahsante, karibuni...
1 Reactions
30 Replies
29K Views
Kuna Hali imenifikirisha kidogo kuhusu Dunia. Huwa tunaona Mara nyingi mvua zikinyesha au vimbuka vikali mchanga husombwa kutoka milimani kuja tambarare hii hutotokeza enzi na enzi. Swali: Kwa...
0 Reactions
3 Replies
717 Views
Husika na kichwa cha habari apo juu wakuu nilikuwa naomba msaada wenu wa kujua kozi nzuri ya kusoma veta ili uweze kujikwamua kiuchumi na inayolipa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari wakuu Ninauhitaji wa mtaalamu atakaeweza nifundisha GIS sana sana kwenye kutumia Tools kama QGIS na ARCGIS Awe Daressalaam
2 Reactions
5 Replies
698 Views
Habari wapambanaji Naombeni mwenye uelewa kati ya fani hizi mbili ni ipi bora Kwa wakati wetu huu kuisoma Procurement and supply management Marketing
1 Reactions
7 Replies
494 Views
Naitwa FEBIANI BABUYA ni mhitimu wa elimu ya chuo kikuu Degree ya Masoko na Uhusiano wa umma/ Marketing and public relations kama unahitaji ushauri kwenye hilo usisite kunitafuta pia kama kuna mtu...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa anaefahamu ada ya kusoma medical doctor kwa mwaka Makerere university aniambie Au chuo chochote Kenya au Uganda
3 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari za wakati huu wadau wa elimu, mimi ni kijana ninaye jihusisha na utoaji huduma ya afya kwa njia ya mitishamba, nimefanya kazi hii kwa mafanikio makubwa. Imefika wakati nahitaji huduma yangu...
2 Reactions
8 Replies
688 Views
Miaka mitatu iliyopita dogo alimaliza kidato cha sita. Akafaulu, akiwa ajiandaa kujiunga na chuo. Dingi akamwambia dogo asomee sheria (bachelor of law). Dogo akamkubalia dingi, na kweli aka apply...
18 Reactions
194 Replies
14K Views
Back
Top Bottom