Poleni na majukumu ya kujenga nchi wadau,
Mimi ni Mwalimu ambaye nimesomea kozi tajwa hapo juu nikiwa na GPA ya 3.8. Nimefikiria kwenda masomoni kujiendeleza katika moja ya kozi zifuatazo :
1...
Hi Wana JF,
Naombeni msaada wa kupata softcopy notes za English Medium kwa standard 1-7 kwa masomo yote kwa mwenyenazo tunaweza kuchangiana Kias flani ili nizipate.
Asanten Sana
Wakuu,
Kama kuna anayefahamu kuhusu taasisi, jumuiya au hata shirika linalojihusisha na udhamini wa wanafunzi wa elimu ya juu anisaidie nina shida ya udhamini.
AHSANTE
Wakuu naomba kwa yeyote anae fahamu ikiwa ni mtu binafsi, shirika, taasisi ama kampuni inayodhamini watu elimu ya chuo kwa mashart nafuu especially ktk masomo ya sayansi naomba kujuzwa TAFADHALI.
Kwa ufaulu huu wa kidato cha nne anaweza somea kozi ipi ya afya ngazi ya diploma au certificate.
Kisw-c, eng-d, math-f, bio-c,chem-d,geo-c,hist-d, civ-c.
Mwalimu yeyote anayefundisha lugha ya alama yaani sign language.
Awe mkaazi wa Dar, nahitaji mawasiliano nae ili nami nijifunze lugha ya alama. Aje inbox nimpe namba yangu tuwasiliane Whatsapp na...
Habarini wana jamvi,
Naomba msaada wa App ya Android au iOS ambayo nitaitumia kutuma ujumbe mmoja kwa watu wengi, ambapo pia mpokeaji atapokea ujumbe ukiwa na jina la taasisi/kampuni au huduma...
Habari wakuu!
Kuna dogo ana div 1 ya 9 amechaguliwa udom na chuo cha mipango Dodoma, lakini vyuo hivo aliviweka mwishoni kabisa akitegemea kwamba atachaguliwa vyuo alivyoweka mwanzo sasa...
Mimi ni mwanafunzi katika chuo flani cha afya,hapa tanzania nikisomea kozi ya nursing niko mwaka wa pili,je kuna uwezekano wa kumaliza unesi na kujiendeleza kuchukua kozi nyingine kama vile...
Kwa nini media zetu bado zinamwita huyu Naibu Waziri Dr wakati sio?
Huyu ana mediocre Assistant Medical Officer(AMO),ambayo kwenye nyingine hawezi hata kushika mgonjwa1Hata Muhimbili wanajua,ndio...
Habari za kazi watu wa Mungu,
Hivi kuna ambaye amepata admission chuo (tofauti na OUT) kwa kutumia matokeo ya foundation ya open katika selection za mwaka huu?
Sent using Jamii Forums mobile...
Wadau msaada tutani.. kijana anataka kusoma kati ya course hiz ip mtu ukisoma inakupa mwaga wa ajira kwa haraka 1.Dump truck 2.Excavetor 3.motorgrader 4.wheel loder 5 foklft
Wakuu, habari za uzima.
Foundation program ni course ya mwaka mmoja inayofundishwa katika chuo kikuu huria ikiwa na kama daraja kwa wahitimu(form four, form six au colleges )wanaotaka kwenda chuo...
Polee sana na kazi wakuu
Naomba ushauri
Mimi nimesomea ualimu ngazi ya cheti daraja la IIIA,,Sasa ni mwaka wa nne tangu nihitimu
Je ni diploma gani au course gani naweza kusoma kwa kutumia cheti...
Khabari za wakati huu wakuu, wakuu nilikuwa naomba ushauri wenu maana nataka kutuma maombi DIT nikasome diploma in biomedical equipment engineering.
Je kwa ufaulu wangu huu naweza kuchaguliwa...
Hello.
Nafahamu humu Kuna watu mbalimbali wenye uzoefu na kujua mengi Sana.
Naomba kujua vyuo vya nje ya nchi ambavyo vinatoa masters ya
1.Cardiology nursing
2. Neonatology nursing
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.