Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Nina mwanangu wa kike, matokeo ya kidato cha nne si mazuri, lakini kuna mtu kaniambia kwa matokeo yake anaweza kuanza na certificate in IT. Naomba kujua mtu mwenye division 4 ya 27 inawezekana...
0 Reactions
3 Replies
806 Views
Kama kuna mtu anafahamu kitabu cha aina hiyo, kilichoandikwa na Mbongo au kwa Kiswahili, naomba anijuze.
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuomba Kusoma IFM au CBE masomo ya biashara ngazi ya cheti wapi bora?eg CBE Dodoma au IFM dar au mikoani
2 Reactions
9 Replies
4K Views
Naomba msaada kujua ni ipi course nzuri zaidi, kati ya Insurance and risk management na Economics and Finance Management. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kisemavyo naomba msaada wakuu kuna dogo langu hapa nimsaidie kucheki.
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Bodi ya mikopo mlitoa tangazo dirisha la maombi ya mkopo kwa mwaka 2021/2022 litafunguliwa tarehe 01 July 2021, lakini hadi muda huu halijafunguliwa na hata website yao inasumbua kufunguka...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna topic moja ya evolution of theory.kuna theory 3 classical approach,behaviour theory,contingence and scientific system ivi kati ya izi which is suitable to apply in the organization for nowadays?
0 Reactions
1 Replies
530 Views
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA CSEE 2011 EXAMINATION RESULTS S0438 MASJID QUBAH MUSLIM SEMINARY , DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 0 DIV-IV = 15 FLD = 18 S0251 AT-TAAUN ISLAMIC GIRLS...
0 Reactions
20 Replies
19K Views
Heshima kwenu GTs, Mimi ni mmojawapo wa alumni wa Azania Secondary. Katika kuhamasisha wanafunzi kupenda kusoma hasa somo la hesabu, napendekeza wanafunzi wote tuliosoma Azania (PCM) tuanzishe...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Aliesoma tcu guide sheet ya mwaka huu ansaidi kunpa taarifa, na je mhitimu wa foundation program ya open anaweza akatuma chuo gan?
1 Reactions
30 Replies
9K Views
Walimu habari! Mimi nilipendekeza mwaka ujao wa fedha. WALIMU WAKUU NA WAKUU WA SHULE wasipewe posho, na badala yake kile kipengele cha Responsibility allowance kibadilishwe kiwe FEDHA ZA...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Michezo humfunza mtoto ubunifu, kujenga ushirikiano na wenzake, mawasiliano nk. Hivi vyote ni muhimu katka maisha ya baadae ya mtoto. Katika michezo watoto wanapata nafasi ya kupanga sheria na...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba kujua wapi naweza pata mafunzo ya graphic design kwa muda mfupi. Mwenye kujua Tafadhari naomba msaada
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Elimu inatakiwa isaidie mtoto kupambana na mazingira kwa kutumia raslimali zilizopo Masomo ya O level kama Kiswahili, Civics na Historia yanapoteza tu muda watoto. Yawekwe masomo ya kilimo na...
12 Reactions
93 Replies
10K Views
Habari wana Jamii Forums, Nahitaji msaada kwa elimu kwa Mwalimu wa Pure Math kwa A' Level. Kwa yeyote aliye tayari ani PM ili tujue tunasaidianaje. Updates: Pia Mwalimu wa Geography na Economic...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Hivi ni vituo vya walimu ambavyo vimekua vikitumika kuwasaidia walimu kuendana na wakati kwa kupitia matini mbalimbali, vimetumika kuwakutanisha walimu pamoja na kupeana uzoefu kusoma vitabu...
1 Reactions
4 Replies
841 Views
Akiwasilisha makadirio ya bajeti ya Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia tarehe 9. 04 May 2021, aliiagiza bodi ya wakurugenzi ya heslb kufuta makato ya 10% yanayotozwa na bodi kwa waliochelewa...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu naomba kujuzwa kuhusu shule tajwa hapo juu. Naomba kujua ipo umbali gani toka Kibiti mjini na mambo wawili matatu kuhusu shule hiyo. Mtu atalajie nini na ajiandae na nini. Kijana wangu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naishauri serikali yangu kuhusu mtaala wetu wa elimu uweze kubadilishwa na kuwa wa mfumo wa hivi 2:6:4:1:2:3 Miaka 2 ya mwanzo ni elimu ya awali Miaka 6 elimu ya msingi Miaka 4 elimu ya Sekondari...
0 Reactions
6 Replies
839 Views
Aombe vyuo gani ambavyo hatopata ushindani mkubwa, vyuo vikuu, hapa Tanzania.
1 Reactions
28 Replies
6K Views
Back
Top Bottom