Habari wadau poleni na majukumu,
Nasikia kuna kozi mpya ama imepewa jina lingine, zamani ni Shipping and Port Management, sasa hivi inaitwa Cargo Shipping, je kuna anaejua ukweli wa hizi taarifa?
Habari zenu ndugu.
Ninaye kijana wangu ambaye anaelekea kuhitimu masomo ya sekondary na amekuwa akichukua masomo ya biashara kulingana na uwezo wake... japo kama mzazi nilipenda achukua masomo ya...
Habarini wakuu!
Natumai wote ni wazima, leo nimekuja na ombi kwenu, kwa yeyote anaefahamu kitabu kinachoeleza namna gani mtu anaweza kutengeneza confidence anihabarishe na namna ya kukipata au...
Naomba kujuzwa juu ya suala hili,je mwanafunzi anayesomea med lab muhimbili na yule anayesomea kozi hiyo hiyo katika vyuo binafsi ,JE katika soko la ajira wanakuwa na equal chances za kupata...
Naumba ushauri ndugu zangu mm nasoma chuo kikuu ila nipo mwaka wa mwisho na semester ya mwisho je naweza kuomba tena chuo kwa kozi nyengine kama mwaka wa kwanza na baada ya kumaliza semester hii...
Wakuu habari,
Kuna tatizo gani na tovuti ya chuo cha Moshi Co-operative University? Ukifungua inakuja kialama kama namba nane ila kimealala na kuzunguka kama kinasachi bila kikomo, tatizo ni...
TCU ni taasisi inayodhibiti ubora wa elimu ya juu. Inakagua, inashauri, inaruhusu Na kusimamisha au kufuta vyuo visivyokidhi vigezo vya ubora. Hivyo, vyuo vyote ambavyo vinatoa mafunzo vimefikia...
Habari wanajamii forums ningependa kuomba kwa wale wanaofahamu vigezo vya kusomea afya tofauti na md Kama unersi, phamacia,na mengine anisaidie jamani.
Kwanini dunia imekuwa ikimchukulia Albert Einstein(205-225IQ) kama mtu mwenye akili zaidi kuwahi kuishi duniani, mbali na kuwepo watu kama vile Isaac Newton, William Sidis, Max Planck na wengineo...
TCU mfumo CAS ulifeli kwa kuwachagulia wanafunzi fani wasizozitaka na vyuo wasivyovitaka.
Yaan mtu anaenda kusoma chuo kikuu fani asiyoitaka wala hakuiomba, na hajui inahusiana na nini.
Chuo...
Baba mlezi amefariki ila sisi tupo wawili yaani mimi na mwanaye wa kumzaa; wote tunaomba mkopo wa elimu ya juu.
Je, sote tunaweza kutumia cheti kimoja cha kifo kuombea mkopo?
Habari wandugu,
Katika kutoa huduma kwa jamii, napenda kuwashauri watu wanaotaka kujiendeleza kielimu, maarifa na kiteknolojia. Wapo watu wanaopenda kujiendeleza kwenye nyanja hizo, na hukosa...
Hellow wanajukwaa naomba mwenye ufahamu na kozi ya bachelor of arts in geography and environmental studies ya chuo kikuu cha Dodoma anifahamishe kuhusu details za kozi hii please.
Heshima iwe kwako,
Naomba kuulizia shule nzuri kwa mikoa tajwa hapo juu kuna ndugu yangu kaniulizia kwa ajili ya maandalizi ya mwanaye kuanza kidato cha kwanza mwakani.
Mtoto ni msichana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.