Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Chuo cha Usimamizi wa Fedha kinatoa Course nzuri sana, inaitwa Social Protection. Taaluma hii ni muhimu kwa Dunia ya sasa, na hapa Tanzania kuna gap sana. Sasa cha ajabu ndani ya hiyo Course...
10 Reactions
72 Replies
7K Views
Naomba kujuzwa kwa mwenye ufahamu. Swali langu ni kwamba kama ulipata mkopo kutoka (HESLB) na uka Disco ni kweli unaweza pata tena baada ya kulipa 25 asilimia?
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari ndugu zangu! Naomba kufahamu ni Kada ipi katika Utumishi wa Umma ambayo watumishi wake wanatumia sub-vote code 2208. Nakumbuka nilipokuwa mwalimu wa Shule ya Secondary nilitumia sub-vote...
0 Reactions
2 Replies
11K Views
Najaribu kuverify cheti cha kuzaliwa online kwa ajili ya kuomba ufadhili (mkopo) kutoka bodi ya mikopo ya elimu ya juu muda ukifika, sasa najaza particular zangu na za mama lakini nikifika stage...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Wadau Habari za mida hii, Joining instructions ya Shule ya Sekondari MLANGARINI haipatikani kwa utaratibu uliotolewa na TAMISEMI. Kama kuna mdau anayo, basi naomba anitumie. Pia kama kuna mdau...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wakuu nina kijana wangu nataka nimpeleke hapo cbe kuendelea na masomo kwa ngazi ya certificate kwenye masuala ya uhasibu je level hii gharama ni shilingi...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari wadau, Naomba kujua ufaulu wa o level mwaka jana ulikuwaje. Shule za serikali zili perform vipi, pia naomba list ya shule 100 bora Tanzania nzima.
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Habarini wadau, Naombeni Msaada kulingana na nilivyoeleza hapo juu. Mwenye nayo anitumie kwa email; unclekaso@gmail.com au WhatsApp Na. 0739947397 Nimejaribu kuitafuta kwenye website ya chuo...
1 Reactions
3 Replies
939 Views
Naomba kuuliza, D flat ya PCM ya mwaka 2011 Form 4 anaweza kupata Advanced ya kulipia? Alipata C 2 tu; ya Math na English, zote D.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za muda huu wakuu, Samahani kuna selection hizi za jeshi za wanafunzi waliomaliza form six zimetoka na nimechaguliwa kujiunga na jeshi ila nimebakia njia panda. Nilikuwa nauliza kwani...
1 Reactions
38 Replies
11K Views
Asalaam. Poleni na Hongereni kwa mapambano ya Covid 19. Mimi ni Mwalimu wa Chemistry na Biology. Nina Diploma ya Education G.P.A ya 3.0. Nimetulia na nataka kusoma degree ya kwanza, ila ijikite...
4 Reactions
70 Replies
19K Views
Naomba tushauriane katika hili wakubwa. Asome ipi kati ya hizi ili kupata ujuzi na maarifa yenye matumizi 1. Post Graduate Diploma in Finance And Accounting 2. Bachelor of Business...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu, Natafuta mtu wakupublish nae tafiti, tutashirikiana kwa pamoja kufanya tafiti hizo. Mtu huyo angalau awe amesha publish tafiti zaid ya moja. Sifa 1. Elimu...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Natafuta mwalimu wa kichina na Kiingereza afundishe wanangu nyumbani. mbweni Dar. Inbox for more details
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Leo dirisha la kuomba kusoma vyuo vikuu mbalimbali limefunguliwa, naomba mwenye ujuzi jinsi ya kuomba anisaidie. Pia tunaomba chuoni moja kwa moja ama TCU, ukiniwekea procedures utakuwa...
1 Reactions
6 Replies
6K Views
Wapendwa katika bwana naomba kusaidiwa mtoto wa kike aliyeishia darasa la saba asomee ujuzi gani angalau awe na cha kufanya katika zama hizi? Nimeombwa ushauri toka huku kijijini kwetu. Me...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari, kuna mdogo wangu amemaliza form 4 mwaka jana, kwenye self form nilimuombea advance maana alibalance CBG pamoja na HKL, lakini akachaguliwa kusoma ACCOUNTANCY huko CBE mwanza campus, cha...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Niko kwenye process ya kumfanyia mtu application ili aweze kuomba chuo kikuu kama NACTE walivyoagiza kwa watunwa equivalent,bahati mbaya nimekutana na technical problem,hivyo kwa mwenye...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Heshima zenu wakuu, Ni duka gani hapa mjini naweza kupata vitabu hivi? ambavyo ni vifaa vya mtaala mpya wa awali wa 2016................ NB:vinavyohitajika ni vile vilivyoandaliwa na Taasisi ya...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Back
Top Bottom