Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Siku ile akiwa mbele ya wazee wa Dar, JK huku akiwaita wafanyakazi Mbayuwayu alitamba sana akisema mimi ndiyo Mwajiri wa wafanyakazi wote hivyo atakayegoma nitamfukuza kazi. MPENDWA MFANYAKAZI...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
nimeona picha mbili za wagombea wakiwa wamepiga magoti katika matukio tofauti ya kampeni kule jamii photos kwa kweli hiki ni kitendo kibaya yaani sitaki kuamini mgombea anabembeleza apewe kazi ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Anang'ala poooooooooote! Bofya hapa upate raha!!!!!!!!!! http://www.facebook.com/video/video.php?v=443609306888&oid=135719259797667
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Imekuwa ni kawaida kabisa kwa thread kugongana na hivyo MODs kuunganisha thread hizo. Siku ya Uchaguzi, huenda zikagongana nyingi zaidi na hivyo nyingine zikakoswa kusomwa. Ni kipindi hicho huenda...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nawezekana vipi kuunda katiba mpya , kufuatilia migogoro ya ardhi ndani ya siku mia hayo ni machache 2 ila kuna mengine mengi tunaahidiwa kufanyika ndani ya siku mia (100) kweli yote...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Leo kulikuwa na mdahalo wa wagombea wa ubunge jimbo la segerea,wagombea waliobahatika kuhudhuria ni wa TLP,CUF na CHADEMA. Waliousikiliza kupitia wapo radio ni mashahidi zangu MPENDAZOE yuko...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
TUNAELEKEA WAPI? Jana nilikutana na kada wa ccm, akanitambia kwamba, Tayari tumepokea (kuramba) shs 30,000 kila mwanachama wa ccm aliye hudhuria mkutano wa jk wa kumaliza makundi, Blue peal...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
ni mzuri sana wa kuomba misaada! au unasemaje waungwana?
0 Reactions
0 Replies
942 Views
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) imepania kuweka rekodi baada ya kueleza kuwa itatangaza matokeo yote ya uchaguzi mkuu siku moja baada ya kupiga kura, uamuzi ambao unaweza kupunguza mianya ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
  • Closed
Kumekuwa na tuhuma za mara kwa mara kwamba kwamba JF is of special interests, sometimes for some people, institutions, political parties etc. Watu kama Mengi, Zitto na hata JK wamewahi kutajwa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Usiku wa kuamkia leo katika mtaa wa makao mapya mjini Arusha, bendera na vipeperushi vyote vya Chadema vilivyokuwa vikipepea vimeibwa na watu wasiojulikana...!!! Nimepita eneo hilo leo asubuhi...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imezibadilisha karatasi za kupigia kura. Karatasi hizo sasa zitakuwa na nembo ya chama cha siasa cha mgombea. NEC imeagiza kuwa, mchakato mzima wa uchaguzi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba wadau kama imeshawahi kutokea katiak nchi ye yote katika dunia nusu ya population imejiandikisha kupiga kura kama Tanzania,
0 Reactions
0 Replies
978 Views
Kama Mtanzania mwenye akili timamu, ninayetaka mabadiliko, mwenye utashi na hamu ya kuchagua viongozi kwa kufuata sera (badala ya ukada na ushabiki wa kijinga), ninapenda kulipongeza gazeti la...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Ijumaa Oktoba 08, 2010 Habari za Kitaifa Slaa atikisa Sumbawanga Imeandikwa na Peti Siyame, Sumbawanga; Tarehe: 8th October 2010 @...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
kweli nimeamini HATAMU IKISHIKWA PUNDA SHARTI LAZIMA AENDE ,,,,WANANCHI wenzangu mnadanganyi kwa maneno ivi hamji kuwa hao mnaowapigania ni mafisadi zaidi jinsi mnavyofikiri ki ukweli CHADEMA...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jihabarishe bofya hapa http://www.facebook.com/kikwetebilal#!/kikwetebilal
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Cheeecheeee cheee ...........unapata dezo dezoooo.....mali zao sitaki kuuacha....sera zao hazilipiii....we CCM weee umeumbukaaa....... Jana nimekuta store moja imesheheni mzigo huuu huku Arusha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
gazeti la mwanahalisi la jana liliandika kuwa miraji kikwete amefungua ofisi ya CCM isiyo rasmi mtaa wa undali upanga no.175 ambako kuna wataalam wa IT aliyosoma nao Bangalore India walioandaliwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Dk. Slaa alipaswa kumpa pongezi Lt. Jen. Shimbo Lula wa Ndali-Mwananzela Oktoba 6, 2010 BAADA ya Luteni Jenerali Abdulrahman Shimbo kutaka vyama vya siasa viwe tayari kukubali matokeo ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom