Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wadau huyu mtaalam wa kughani wa ccm yuko wapi? Tulimsikia sana chaguzi zilizopita. Mwenye habari zake mtumwagie
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wednesday, 19 May 2010 SERIKALI imetoa waraka unaovielekeza vyuo vikuu vyote nchini, kuchelewa kuanza muhula wa masomo kwa mwezi mmoja, ili kupisha uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Kwa...
0 Reactions
220 Replies
18K Views
Jamani jana lipumba alikuwa katika kampeni mjini Bukoba, na alihutubia mkutano katika uwanja wa mashujaa (maarufu kama uwanja wa mayunga au uhuru platform). Kwa kuwa sikuwepo sijapata vizuri nini...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Mwalimu Nyerere aliongelea uozo katika CCM. Kwa mfano, wakati alipokuwa anajiandaa kung'atuka uenyekiti wa CCM, alizunguka nchi nzima akikagua uhai wa CCM. Wakati wa ziara hiyo, inaonekana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wahenga wa Kizungu wana msemo wao; eti " A blck cat may be a bad luck ONLY if you are mouse!" Chambilecho waungwana, kama wewe si panya, ya nini kumwogopa paka mweusi?! Nataka kuzungumzia...
0 Reactions
2 Replies
11K Views
kweli nimeamini HATAMU IKISHIKWA PUNDA SHARTI LAZIMA AENDE ,,,,WANANCHI wenzangu mnadanganyi kwa maneno ivi hamji kuwa hao mnaowapigania ni mafisadi zaidi jinsi mnavyofikiri ki ukweli CHADEMA si...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama kuna mbunge kijana au mwanaharakati wa ukweli huwezi acha kumtaja john john mnyika, haya yamedhihirika kwenye mikutano yake ya kampeni kutokana na sera yake ya (AMUA) jinsi anavyo ishusha...
0 Reactions
51 Replies
5K Views
Chadema yawasilisha malalamiko Mashirika ya kimataifa pia yaelezwa Kauli iliyotolewa na vyombo vya usalama Ijumaa iliyopita na kusomwa hadharani na Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Tanzania attained 15 spot in 2001 before it slip well down to 21 in 2005. From 2006, the country experienced ups and down before attains its 15th spot in 2009. However, the general observation...
0 Reactions
78 Replies
7K Views
Wana JF Sambamba na matokeo ya kuchakachua kutoka REDET, habari zilizoingia kwenye dish langu muda mfupi uliopita, zinasema wastaafu wameombwa na kubembelezwa sana kuingia kwenye kampeini...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Sitaki Rais anayebeba wasiobebeka Ndimara Tegambwage Mwananchi SITAKI Rais Jakaya Kikwete apinde hoja. Sitaki rais awe moto na wakati huo huo awe baridi. Hii ni kwa kuwa sitaki wale...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hivi karibuni, vichwa vya habari katika vyombo vya habari vilitawaliwa na sakata la mmoja wa makada vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Hussein Bashe kunyimwa fursa ya kuteuliwa kuwa mgombea...
0 Reactions
19 Replies
11K Views
Katika hali ya kushangaza wanajeshi wa JWTZ wapo kwenye mazoezi makali, mithili ya yale ya FFU, bila shaka kujiandaa kwa kupambana na watakaopinga matokeo ya uchaguzi mkuu baada ya kuchakachuliwa...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Wandugu habarini Ninaomba kuuliza swali moja tu................ Ni kwa nini Tanzania iliamua kuwa na kawaida ya kufanya uchaguzi kila baada ya miaka mitano??? To me kwa upeo wangu mdogo wa mambo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
..."Exploiterz are terrified of the revoln,exploiterz are frightened of change. People who are content are fearful of change,bcoz change will upset their security. Bt the oppressed must desire...
0 Reactions
0 Replies
850 Views
Dk Willbrod Slaa Waandishi Wetu Dar na Rukwa SHUGHULI nyingi za kiuchumi jana zilisimama kwa muda mjini Sumbawanga kufuatia ujio wa mgombea urais kupitia Chadema, Dk Willibrod Slaa huku...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mziray wa APPT Maendeleo ampigia debe Dk Slaa Send to a friend Thursday, 07 October 2010 08:08 0diggsdigg Sheilla Sezzy, Mwanza MGOMBEA urais kwa tiketi ya APPT-Maendeleo, Peter Kuga Mziray...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Takribani dakika 30 zilizopita maeneo ya soko kuu Arusha polisi wamekuwa wakirusha risasi hewani na kukamata watu hovyo....ni kitendo cha kushtua sana kwa watu tuliokuwa tukipita na shughuli...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakubwa naomba kueleimishwa na aina ya siasa ya bongo! Hivi kwa mtaji huu kila mtu si atakuwa mwanasiasa kama kazi ni kutoa ahadi pasipo kuwatajia source ya hizo hela zitatoka wapi? Mimi ninaamini...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mwenye Hili Jamani atujuzi tulio ugaibuni?? Nini tena kuhusu maaskofu??
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Back
Top Bottom