"Demokrasiabila mipaka ni ukichaa na demokrasia bila nidhamu ni uwendawazimu"Mwl Jk Nyerere
Ndugu zangu Watanzania, naomba mfahamu kuwa miongoni mwa wajumbe wote wabunge la katiba takriban 600...
Siasa ni mchezo mchafu,kwa mtazamo wangu mm,naona niwashauli wafuasi wa ukawa hasa hawa wabunge tena zaidi ni wabunge vijana walioaminiwa na wananchi wao kwa nguvu ya kura na si pesa,tunaamini...
Kuna kauli kwamba wazee kina Warioba,Butiku,Salim A. Salim wasubiri kufa zama zao zimepita, wawaachie vijana nao ni zamu yao wafaidi. Je! Wazee kina Wassira, Kingunge na wengineo wao zama zao ni...
Mbunge wa Viti maalum kupitia CHADEMA Mh.Leticia Nyerere kwa mujibu wa ITV habari usiku huu ameonyeshwa na amesaini kitabu cha Mahudhurio ndani ya Bunge maalum La Katiba ikiwa ni kinyume na...
Wajumbe wamependekeza uwepo wa Makamu wa Rais watatu. Wa kwanza ni yud ambaye anatokana na Mgombea Mwenza wa Jamhuri ya Muungano. Wa pili ni Rais wa Zanzibar ambaye atakuwa Makamu wa Pili wa Rais...
Kamati hii imeamua watanzania wawe na uraia wa marekani na nchi za ulaya,lengo ni kuifanya nchi ipendeze kwa kuwa na tamaduni na kiingereza kama cha ulaya ambacho kimewavutia viongozi wa kamati...
Habari wakubwa?
Katiba inayotengenezwa ni ya Tanganyika pekee au ni ya jamhuri ya muungano wa Tanzania?
Kuna public figure kwa upande wa Tanganyika wako ndani ya bunge maalum ila upande za...
Dodoma. Wajumbe wa Kamati Namba 10 ya Bunge Maalumu, juzi walijikuta katika wakati mgumu baada ya kubanwa kwa karibu saa nzima na Mbunge wa Mpanda Mjini (Chadema), Saidi Arfi.
Habari kutoka ndani...
Kuna watu watu wengi wamekuwa wakisema UKAWA warudi kujadili serikali 2 kisha wananchi wataamua. swali kwao ni kwa nini hao walio bungeni wasikubali kujadili serikali 3 zilizopendekezwa na...
Mtanzania leo hii limeandika ukurasa wa mbele kwamba kuna wajumbe 80 wa CMM ambao hadi sasa hawajahudhuria vikao vya BMK tangu lianze tena wiki iliyopita, yaani hawaripoti kabisa.
Kweli nyani...
Wadau salaam,
Mara kwa mara tumekuwa tukisikia wanasiasa (wengine na PHD)wakilalamika majukwaani kuhusu kushushwa kwa tovuti ya iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba na kupeleka lawama zao moja...
idadi ya wabunge 80 hawajafika kwenye vikao vinavyoendelea katika BMK. Mawaziri ambao ni wabunge maalumu wa BMK wana majukumu mengine. Je wanatutendea haki? Kwa maono yangu wabunge wangepatikana...
TAFADHARI UNAOMBWA KWA MOYO MKUNJUFU UWEKE SAHIHI KWENYE PETITION HII HAPO CHINI ILI WATANZANIA MILLION MBILI (2,000,000) WANAOISHI DIASPORA WAPATE HAKI YA KUPIGA KURA NA URAIA PACHA.
MUONGOZO...
mchakato wa katiba bado unaendele na huu ni ujumbe wangu kwa leo.
1)SISIEMU NA UKAWA,MBONA MWAZIDI VUTANA ?.
BADO MAMBO HAYAJAWA,MNAANZA KAMATANA.
MTAWEZA KUTUGAWA,NA NCHI MTAICHANA.
TUSITUMIE...
WAKATI Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta akiwataka wanasiasa nchini kuacha kuchezea Muungano, Jukwaa la Katiba limesema limefurahishwa na hatua iliyofikiwa na Bunge hilo kwa...
Bunge Maalumu la Katiba Mpya linaendelea licha ya vilio na miito kutoka watu na makundi mbalimbali kutaka lisitishe shughuli zake mpaka maridhiano yatakapopatikana kati ya makundi yanayosigana ya...
MKURUGENZI wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Salva Rweyemamu, amesema hata kama viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wakikutana na Rais Jakaya Kikwete, hakuna kitakachobadilika kuhusu...
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta akizungumza na wafugaji kutoka
mikoa mbalimbali nchiniwalipomtembelea ofisini kwake Dodoma jana. Wafugaji hao walipelekwa
bungeni hapo na...
Dodoma. Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba anayedhaniwa kuwa na umri mdogo zaidi, Teddy Ladislaus (22), amesema kitendo cha Bunge hilo kuendelea na vikao vyake ni kutumia vibaya fedha za walipakodi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.