Habari wakuu tafadhali husika na kichwa cha habari, anahitajika binti mwenye upendo wa dhati kwa watoto, kiwango chochote cha elimu majukumu ya kazi ni kama ifuatavyo.. kumpa mtoto chakula...
Habari wakuu tafadhali husika na kichwa cha habari, anahitajika binti mwenye upendo wa dhati kwa watoto, kiwango chochote cha elimu majukumu ya kazi ni kama ifuatavyo.. kumpa mtoto chakula...
Habari wakuu tafadhali husika na kichwa cha habari, anahitajika binti mwenye upendo wa dhati kwa watoto, kiwango chochote cha elimu majukumu ya kazi ni kama ifuatavyo.. kumpa mtoto chakula...
watanzania tunakoelekea sio kuzuri,juzi niliomba kazi kwenye ampuni ya wa Swedish cha kushangaza nikatumiwa messege na mtu nisie mfahamu tena akataja jina la ile kampuni niliyo omba...
This morning i got a text;
It reads, "We av an interview today please cum if u can"
Then i replied, "what's the interview about?"
the next text read like, '' It's about Principal" and the...
Jamani wana Jamvi, ebu tuhoji hawa wanasiasa kwanini swala la Ajira kwa vijana kwa umoja wao wasilizungumzie na kulipatia ufumbuzi badala ya kupiga poroja za kisiasa za kudanganya raia na tusione...
Jamani wana JF hivi ajira za UDOM kila mwaka ndiyo zinakuwa hivi zimetawaliwa na usiri mkubwa na mfumo wa kuitwa kazini kwa waliopata wanaujua wao. Kama kuna watu walifanya oral interview...
Nina diploma in procurement and logistic management.uzoefu nimeupata nikiwa field president's office finance,economic and development planing.zanzibar.naomba msaada
Wadau,nimesikia mlimani i.e udsm wameachia nafas za ututorio i.e tutorial assistants. Eti zimetangazwa katika gazeti la mwananch la leo,ni kweli jamani? Mwenye hlo tangazo atupie hapa basi mana...
Natafuta mdada mrembo/ mzuri/ mstaharabu
~Kati ya miaka 16~ 30
~Mwenye uwezo wa kunyoa ata kidogo na anajua shunguli mbalimbali kwenye saloon ya kiume ( FREMA BARBER SHOP).
~Piga no 0715...
UKIPITIA POST HIZI UTAWEZA KUTAMBUA NAMNA WATU WANAVYOWEZA KUBUNI MBINU ZA UJASIRIAMALI KILA KUKICHA
Jamani hii tabia mpya, post ya Inosent
Watanzania tunakoelekea sio kuzuri,juzi niliomba kazi...
Nina mtu wangu anatafuta kazi ya IT, ana experience ya miaka 3 na elimu yake ni advanced diploma in Computer Science ila sasa amehamia Dar baada ya kupata makazi ya kudumu. Naomba wana JF msaada wenu.
Ana certificate ya MEDICAL LABORATORY ASSISTANT. Anatafuta kazi kwa sasa yupo Dar. Mtu yoyote mwenye uwezo wa kumsaidia awasiliane naye kwa namba 0653882988.
Jamani masociologist wenzangu kazi zipo wapi? mbona hazionekani hasa huku Arusha? nimetuma application mpaka inbox inakaribia kujaa, ingawaje nina bachelor of sociology with 4.5 degree GPA and 4.0...
jamani humu ndan watu wengi inaelekea wanataka nafasi za jeshi kiukweli jeshi kuanzia mwaka 2011 utaratibu umebadilika cha msingi kama unania kweli ya kwena jeshi tuma barua yako kwenda kwa...
Habari zenu wakuu!!!
naomba kutanguliza shukrani,nina degree ya IT na pia nilisoma corse za CCNA na MCP baada ya kumaliza degree yangu na kupata ujuz huo na vyeti vyao pia,baada ya hapo nikamua...
Wametangaza Kazi Kwa Waliofaulu Kidato Cha Nne Au Cha Sita
Mimi Utaratitibu Wa kazi Yao Imenishinda Hivyo Hata Maombi Sijapeleka
Nimewasilisha Tangazo, Ila Sihusiki Kujibu Baadhi Ya Maswali Kama...
Habari ndugu zangu, Natumai kila aliesoma kichwa akapatwa na mshawasha wa kutaka kujua kulikon,<br>Mimi sio mwajiri ila nataka kuwafahamisha kitu kimoja kwa wale wenzangu na mimi.<br>Najua tuko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.