Habari zenu wadau
Nina rafiki yangu amekuwa anajitolea kwa muda wa 5 months now kwenye benki moja hapa dsm baadaya ya kutafuta kazi na kukosa. Hivi karibuni wameitwa kwenye interview na hiyo...
Iv jaman haya makapun yanayotangaza kazi yana nia ya kuajiri watu au wanatangaza tu ili waonekane nao wanatoa ajira? haiwezekan mtu ana qualification tangu 2009 anaaply asipate kaz wakati wengine...
Ndugu zangu, kwanza nakiri kabisa kuwa pengine hili siyo jukwaa sahihi la kuongelea elimu. Lakini nisaidieni, kama ajira za elimu zipo kwenye mtandao, naombeni link!!!
wadau kwa wale walioitwa kazini vipi barua zinachukuliwa wapi kwa mkono maanatukisubiri wakituma kwenye posta ztachelewa kwa wale maafisa biashara wa tamisemi
Naomba mtu yeyote anaejua utaratibu wa kufungua NGO unaanzaje jamani au ni nini kinahitajika, kila ninapojaribu nakwama na sijui ni nani wa kumfuata anisaidie hizo taratibu, maana kuna watu...
A graduate from a recognized university, with outstanding perfomance. I year experience on the relevant field, have worked in various workplaces including mining sites. compitent in...
wakuu kuna jamaa yangu kapigiwa simu na hao jamaa wakidai watampa kazi ila atume laki moja kwenye namba ya simu alafu watamtumia scanned receipts na kumfanyia interview..sasa wanajamvi huu si...
We are looking for mobile application developers who have some experience in Android and iOS platforms. We have a project which will be implemented using the PhoneGap framework (PhoneGap | Home)...
Jamani mwenye update yeyote kuhusu ajira ya IT naomba anijuze ntashukuru sana
***Anyones with any update on the IT jobs plz gave me da information very soon.
Wadau kitaa kimenuka, ni mwalimu wa masomo ya Arts yaani HISTORY,CIVICS NA GENERAL STUDIES nimefundisha miaka miwili . Nina Degree yaani BAED GPA 3.4 UDSM 2010 nimepiga HISTORY AND POLITICAL...
Ndg zangu jamaa zangu na marafiki zangu. Naamini katika idara za serikali UHAMIAJI ni mojawapo wa idara zenye wasomi wengu, Napenda kujua je vigezo wanavyotaja kwa kazi ya uhamiaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.