Jaman naomben msaada wa taarifa kwa wale wanaojua kama zile kazi za TRA zilizokuwa unaomba online kama wameshaita watu kwenye interview!!!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Jaman naomba kujua kama zile kazi za TRA zilizokuwa zimetangazwa na watu wakaomba online kama walishaita watu kwenye interview
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Eti wadau ni wapi naweza kupata soko la asali ya nyuki wakubwa kwa DAR ES SALAAM?(sehemu ambayo naweza kuuza)
Ningepajulishwa na bei ingekuwa poa zaidi.
Natanguliza shukrani zangu!
Wadau kuna mdau amesema katika kipindi cha TUONGEE ASUBUHI Star Tv kuwa kazi hazipati watu ila watu wanapata kazi ndo maana kuwa low performance. Imekaaje hii mbona sielewi flani
nina mdogo wangu kachaguliwa sehemu mbili na nafasi ni hiyo hiyo moja kachaguliwa lindi kama afisa maendeleo ya jamii daraja la ii na pia meatu kama afisa maendeleo ya jamii daraja la pili ingawa...
Sasa unaweza kupata pesa kwa kusaidia kutangaza biashara. Ni rahisi - Gonga hapa: IncomePart.com Earn Money by referral links - 1$ per visit
Uthubutu ni sehemu ya mafanikio.
Kwa mtu ambaye yupo makini atakubaliana namimi kuwa hawa jamaa wana mchezo mchafu na huu usaili wao. Kwa kumbukumbu zangu ni kuwa hili Tangazo la Ajira la mwezi Mei 25,2012 nafasi za Maafisa...
Sumatra Consumer Consultative Council ilituita kuhudhuria usaili 10th October 2012 siku ya jumamosi ilikuwa, usaili ulifanyika NIT chuo cha usafirishaji D'salaam. Nawaomba wadau wa JF mwenye...
Jamani,kaka na dada,mu hali gani? Ndugu zangu,nahitaji sana kupata elimu ya biashara,hasa namna ya kuanzisha biashara na hata kuiendeleza.
Pia nahitaji kujifunza ujasiliamali wa utengenezaji wa...
Kama una vigezo na sifa tuma cv zako hapa anita.kabwogi@sacids.org
Sema una hata masters ya PR au communication kwenye hayo mambo ukipata urudi kushukuru
Wale Wadau walioomba nafasi za kazi zilizotangazwa 03rd October, 2012, na TANROADS REGIONAL MANAGER – Morogoro, waombaji 175 wameitwa kufanyiwa usahili kama ifuatavyo:
8 POST OF SHIFT...
Husikeni na kichwa cha habari hapo juu, natafuta kazi za part time.
S CV
Education : Advanced Diploma in Computer Studies.
Experience :10 years in field.
Currently Employment status : Employed...
habari yako;
nimepata tetesi kuwa DTB wameita watu kwenye usahili..Je kuna ukweli juu ya hili, mwenye taarifa sahii na kamili kuhusu majina ya walioitwa, siku, saa, na mahali usahili huo...
Hello JamiiForums. i'm new registered user of JamiiForums. I would like to ask about employment oppotunity in TRA. when will them provide employment to new applicants in year 2013?.
Habar za leo ndugu zangu wa jf. Ninahitaji kuappy vacancy kweny zoom kuna nafasi nafiti sasa kasheshe hawajaweka direct wanasema "click to email" hapo ndo kazi inakuw ngumu nikiclick najiandikish...
wadau mh rais wakati anazindua matokeo ya sensa alisema kuna ajira zaidi ya 400 kwa ajiri ya kufanya tathimini ya sensa,hivyo nawasilisha kwenu wadau mwenye updates kuhusu tathmini hiyo itafanyika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.