Wakuu habari zenu, naombeni maelekezo pale kwenye kipengele cha academic qualification nimeweka course mbili, moja nilikosea naomba msaada wa kuondoa course moja ase maana hamna sehem ya kudelete...
Kutokana na PSRS kushindwa kufanya kazi kwa ukweli, welidi, ubunifu, hivi vitendo vimepelekea kuwa na shutuma nyingi juu ya utendaji wa hii TAASISI.
Na hivyo wadau tukamkumbuka bingwa wa...
Kwema wakuu? Natatua vipi tatizo la kwenye Recruitment portal ya serikali, Unaaply kazi flani na degree yako ikiwemo kwenye orodha ya Academic qualifications walizotaja lakini ukiapply inakataa...
Ndugu Nina Hali mbaya Sana.
Naomba kibarua chochote sio kazi ya kuajiriwa ukiwa na kazi Kama hizi nafanya
1)Udobi (kazi ya kufua au kupiga pasi)
2)Kufyeka nyasi
3)Kunituma/Kuniagiza kitu DSM
4)NK...
Nimesikitika sana baada ya kusikia kwamba pamoja na ajira zote za umma, ukiacha waalimu, kusimamiwa na tume ya ajira, eti kuna taasisi za umma ambazo usaili ukifanywa na tume ya ajira, bado nazo...
Habarini za mda huu!
Waungwana Kuna mwenye taarifa yoyote juu ya ile interview ya Mzinga tujuzane. Maana ni mwezi sasa au huwa wanachukua mda gani kutoa majibu ya oral?
Kama Kuna mwenye...
Napenda kutoa pendekezo muhimu kwa Waziri wa Afya na Waziri wa TAMISEMI kuhusu mchakato wa ajira katika sekta ya afya nchini.
Pendekezo langu linahusu kuanzishwa kwa mitihani ya usaili kwa...
Habari,
Mwenye connection ya kazi yoyote naomba anisaidie iwe ni kufundisha au nje ya taaluma yangu, nina uzoefu wa kufundisha na Loan Officer.
Napatikana Kibaha
Wakuu za leo,
Katika utumishi kuna utaratibu wa kuacha kazi kwa kumpa mwajiri taarifa ya siku 28 au mwezi mmoja.
Swali langu je katika huo mwezi wa notice mwajiri anakulipa mshahara au unafanya...
Kwema wakuu? Natatua vipi tatizo la kwenye Recruitment portal ya serikali, Unaaply kazi flani na degree yako ikiwemo kwenye orodha ya Academic qualifications walizotaja lakini ukiapply inakataa...
Salam sana.
Rejea kichwa tajwa juu.
Nimekuwa mhariri wa kituo cha redio hapa kanda ya kasikazini kikubwa tu kwa mda mrefu sana ila nimechoka kukaa ndani natamani kutoka nje mwenye msaada...
Habari
Kama ww ni developer front - end or back - end na uko competent but una kaz ni check 0678650509 . Lakini pia kama una uzoefu wa marketing na una kaz nicheki pia . Nina few idea nataka...
Habari za muda huu wana JF,
Nipo Arusha, Natafuta kazi yoyote halali,
Mwenye connection anisaidie tafadhali.
Elimu: form 4
Mawasiliano: 0788614446
Natanguliza shukran.
Asanteni sana
Majukumu yako
Kuuza bidhaa dukani
Usafi wa ofisi wakati wote
Kuendelea na Mpesa na Tigo Pesa
Mshahara
200,000 kwa mwezi
Ofisi itatoa Mlo wa mchana
Ofisi itatoa malazi (sehemu ya kuishi) kwa...
Wameniconferm jana, niende kituo cha kazi huko Geita ,mwezi ujao, hapa nilipo nahisi kama naota vile.
Naona siku kama haziendi niende nikalipoti, nahisi kama jamaa wanaweza ahirisha vile, nawaza...
Wanajamii ninaitwa Samweli Mayala.
Mimi ni mpishi wa uzoefu wa miaka 18, natafuta kazi kwa yoyote atakayesikia anijulishe.
Namba zangu ni 0657642225.
Niko Dar es Salaam.
Habarini nahitaji mtu mmoja aliye karibu na ofisi za Halmashauri ya Sikonge tabora mwaminifu nahitaji anisaidie kuchukua nyaraka pale ofisi ya halmashauri nitagharamia na kumuwezesha tafadhari...
Hii nakala nime copy kutoka moja ya mitandao ya kijamii.
MWANDISHI: Iddy Makengo, 11 Sep 2017.
NINI CHA KUFANYA PALE TU UNAPOINGIA KATIKA SOKO LA AJIRA!
Miaka kama nane hivi iliyopita nilikua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.