UPSCALE SHOP MIKOCHENI iliyopo DAR ES SALAAM inawatangazia nafasi ya kazi UHIFADHI WA KUMBUKUMBU ZA BIDHAA (DATA ENTRY RECORDS).
SIFA YA MWOMBAJI
* Awe amehitimu elimu ngazi ya DIPLOMA/DEGREE...
TANGAZO LA KAZI:
Position: Insemination Officer
QUALIFICATION:
*Certificate/Diploma in Animal welfare and/or Laboratory technology or related activity
*Recent Graduates are highly recommended
*...
UPSCALE SHOP MIKOCHENI iliyopo DAR ES SALAAM inawatangazia nafasi ya kazi UHIFADHI WA KUMBUKUMBU ZA BIDHAA (DATA ENTRY RECORDS).
SIFA YA MWOMBAJI
* Awe amehitimu elimu ngazi ya DIPLOMA/DEGREE.
*...
Description
To work as a cashier
Minimum Education O-Level
QUALIFICATION: Minimum NBAA DIPLOMA IN ACCOUNTS
Send your CV and application letter to: teseandtecho@gmail.com
Deadline; 10 JULY 2023
Waliofanikiwa kufika kwenye interview ya TFRA wanijuze mimi nmechelewa kupata taarifa interview ilikuwa ni saa 4 kamili leo tarehe 24/06/23 venue ni Tanzania Institute of Accountancy(TIA) mkoa wa...
Habari naomba kuuliza kwa wale waliofaulu interview za oral wakaitwa kazini Je, walijibu maswali yote? Maana nilifanya interview yangu ya kwanza maswali mengine point zilkuwa zinagoma kuja kabisa...
Hivi karibuni, kumetokea na wimbi kubwa la taasisi, mashirika na makampuni mbalimbali kutoa nafasi za kujitolea kufanya kazi.
Kimsingi huo ni unyonyaji tu maana wao unawazalishia alafu wanakupa...
Wataalamu na wenye uelewa kidogo wa hili suala. Hili ongezeko huwa linakuwaje
1. Ni asilimia ngapi!??
2. FlatRate kwa watumishi wote!??
3. Kulingana na madaraja ya watumishi!??
4. Au...
Husika na kichwa Cha habari hapo Juu, anahitajika Mdada mwenye Uzoefu na Kazi za Microfinance.
Sifa awe na Elimu Diploma ya Finance, Business Administration or Marketing. Awe na uwezo wa kufanya...
Mimi ni kijana wa Kitanzania mwenye miaka 25 nipo Shinyanga, level yangu ya elimu ni shahada ya awali ya elimu katika masomo ya geographia na historiaa. Natafuta kazi yoyote ili niweze jipatia...
Hi everyone,
Naitwa Hamza ni Operator wa excavator nilikuwa natafuta kazi nina uzoefu usio pungua miaka mi4 sasa kwa yoyote anae fahamu wanapohitajika ma Operator naomba msaada wako kunijulisha...
Kuna nafasi ya udereva hotel ya Lahe Mwanza, mwombaji awe na sifa zifuatazo
Umri miaka 21-30
Awe na cheti cha Veta cha kuhitimu mafunzo ya udereva
Vyeti vya kundesha gari
Uwezo wa kuendesha...
Wakuu, naomba kujua kiwango cha mshahara wa phd znz kama lecturer.
Kuna mdogo wangu mmoja anakwenda kuhamia znz na anakwenda kusomesha chuo kule, wasiwasi wake ni hapo kwenye mshahara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.