Umeshatuma maombi ya kazi miezi mpaka unahesabu miaka lakini hupati kazi.
Unatafuta vibarua vya kujishikiza navyo inakuwa ni mtihani.
Unafanya kila kitu kujaribu kujinasua na mkwamo wa maisha...
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
PRESIDENT’S OFFICE
PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT
Ref.No.EA.7/96/01/L/44 09 April, 2021
VACANCY ANNOUNCEMENT
On behalf of University of Dar es Salaam...
hali ni tete wadau halimanusra nijute kuzaliwa mtoto wa kiume!
naitwa torvic
jinsia ni mwanaume
nimesoma Diploma in Pharmaceutical Science
nina leseni ya baraza la famasi inahitaji ku re-new...
Katika kuwinda fursa za ajira na nafasi mbalimbali za kazi, yapo mengi utayasikia zikiwemo ahadi za hapa na pale nyingine zikiwa za ukweli na nyingine zikiwa zile zenye kufunza kukupima uwezo wa...
Peking Healthcare limited; a newly growing company located in Ilala -Dar es salaam which offers high level quality health services is looking for competent candidates to join the team at one of...
Jina: Bety Laizer
Jinsia: Mwanamke
Umri: 33 years old
Elimu: Diploma ya Afisa Masoko
Makazi: Arusha , Tanzania
Uzoefu: Miaka 8
Email yangu ni tourismnewworldwide@gmail.com ,
Habari.
Naomba Sana kazi sipati.
Kiukweli mwaka Jana nilipata fursa ya kupata kazi sehemu mbili Ila zote sikuweza kwenda maana kuna kazi ya shirika nilikuwa nalipwa malipo kama 2M bado...
LinkedIn si neno geni kwa wengi wetu, huu ni mtandao wa kijamii wa wataalamu, Professionals ambapo kila mtu ambaye yuko interested huweka Profile yake, hii hubeba Elimu, Kazi ulizowahi kufanya, na...
Za asubuh..natafta tenda ya ujenzi..nina krasha inayozalisha aina zote za kokoto na dust(vumbi) ikiwemo na huduma za usafirishaji kwa tipper zenye uwezo wa kubeba 20CBM,apart from that nina kila...
Naitwa M ni mwajiriwa wa kampuni X inayojihusisha na maswala ya kilimo niko hapa natafuta kaz mahali pengine
Mahal nilipo kwa sasa changamoto zmekuwa nying sana kwa uongoz wa kampuni nmejitahid...
Serikali Kupitia Wizara ya ujenzi imetangaza tenda ya ujenzi wa Kipande cha reli Kati ya Uvinza-Musongati-Gitega ambayo inaunganisha Nchi za Tanzania na Burundi.
Kipande Cha mwisho Cha Sgr ya...
WASIFU: Mimi ni kijana wa umri wa miaka 26, ni mkazi wa jiji la Mwanza, wilaya ya Ilemela.
* ELImu: Niimesoma na kuhitimu Diploma of Accountancy and Auditing hapa hapa jijini Mwanza.
* UZOEFU...
Habari zenu wana JF kuna dogo amepata kazi PCCB lakini hajapata barua ya hiyo ya call for employment ambazo, walisema wangetuma, dogo alitumia sanduku la barua la ofisi sasa imekuwa kero kila siku...
Habari wana JF,
Mimi ni kijana Mwenye umri wa miaka 24, Naitwa Isack Mussa. Ni muhitimu wa chuo kikuu (UDSM) course BCOMM HRM.
Nimehitimu 2021 mpaka sasa sijafanikiwa kupata ajira. Nipo hapa...
Kwema humu ndani?
Mimi ni msomi wa level ya Bachelor degree kutoka chuo cha Dar es Salaam. Ni mwalimu wa lugha.
Ni miaka 3 sasa imepita toka nimehitimu masomo yangu.
Nilipanga niendelee na...
Samahani wakuu nina taaluma ya mifugo (animal health and production) ngazi ya diploma ninatafuta kazi yoyote inayoendana na taaluma yanguu nina uzoefu mkubwaa kwenye field hii Kwan naweza fanyaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.